Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni utalii wa ndani mambungila hamuwezi elewaUnaangalia then unakuwa benefited with what?
Sasa Mkuu, umeuliza swali, wadau tunajibu unaanza kuchallenge tena majibu yetu! Kama unajua si ungekaa kimya usingeleta uzi hapa! Aaah. Kumbe ni uzi wa Chit chat.Mikakati unaelewa lakini maana yake?
Sizani makonda ni jau tu1. Michezo huunganisha watu
2. Promoting Utalii as Arusha ni kitovu cha tourism
3. Usisahau Royal Tour Impact
4. Uchumi wa eneo husika kukua i.e pa kulala,bars,vyakula, bodaboda etc
Kama hayo yote hujawahi kuyafikiria wewe utakua una shida kifikra
Likiwa mtwara Lina faida gani Kwa wewe mkazi wa kigamboni?Tamasha la music linaloandaliwa na Wana muziki
Sihusiki na akili mgando yako, maswali mepesi ya kujibiwa na mtoto wa chekechea tafuta nursery ya karibu yako mpe mtoto wa preunitMbona ametoa watu dar Hadi kasababisha foreni
Ndo utalii huo kwani ushawahi jiuliza utalii unafaida gani Kwa mtaliiMbona watu wametoka Kila mkoa kwenda nauliza wasioenda watafaidika Nini?
Mafundi geriji watapiga helaFaida zake Kwa mwananchi ni zipi Tena masikini?
Faida ya flyover ni ipi Kwa mtu aliepo bangata ArushaFaida yake ni ipi Kwa mtu aliye dar kigamboni?
Na kwa jibu lako hili katika comment hii ya KusiniKuchele nimepigilia mstari kuwa una chuki husda roho mbaya dhidi ya makonda maana umeshindwa kupinga kwa hoja. Hivi unadhani leo hiyo festival akina mama ntilie wangapi watauza vyakula? Wauza bidhaa vya reja reja wangapi watauza? Wamiliki wa guest na hotel wangap watapata wateja wapya? Hiv mwamba unafikiria kwa kutumia ubongo au makamasi?Sizani makonda ni jau tu
Ahsante saana mwamba maaana jamaa anataka faida watakayoipata watu wa arusha Tanzania nzima wapate et anauliza inafaida gan kwa wananchi. Anasahau kuwa huyo n mkuu wa mkoa sio raisMafundi geriji watapiga hela
Carwash watapiga hela..
Network ukiwa maskin huwez kuelewa hiki kipengele..
Hotel zote Arusha na gesti bubu zote zinaenda kujaaa
Ma cafe na resturant wanaenda kupiga hela
Petrol station zinaenda kuingiza mamilion ya hela
Faida n nyingi sana... Makonda ni mbunifu sana
Si kila kitu utaambiwa ufanye tumia akili ndogo tu chukua maji kawauzie kwenye huo mkusanyiko acha chuki hadi kwa wanaume wenzakoUnaangalia then unakuwa benefited with what?
Nishamjibu ila kichwa poyoyo huyu jamaaMafundi geriji watapiga hela
Carwash watapiga hela..
Network ukiwa maskin huwez kuelewa hiki kipengele..
Hotel zote Arusha na gesti bubu zote zinaenda kujaaa
Ma cafe na resturant wanaenda kupiga hela
Petrol station zinaenda kuingiza mamilion ya hela
Faida n nyingi sana... Makonda ni mbunifu sana