Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Duh ile noma sanaHuyo Mwijaku anasafisha jina tu. Anajua ana msala wa Menina ndo mana anajikurubisha kwa mama.
Wasanii wengi wana feki life brooo hakuna kitu hapoView attachment 2226011
Unaweza kuwaita chawa,wanaa,wambeya na jina lolote fanani nalo.
Picha hapo juu ni Mwijaku na Baba Levo vijana maarufu kwa sasa hapa Tanzania hasa kwenye tasnia ya sanaa.
Kinachonivutia kwao ni namna wanavyoisaka shilingi pasi na kujali kuitwa majina tajwa hapo juu bali wao wanajali kinachoingia baada ya!
Binafsi naona biashara yao ya uchawa inawalipa hasa ukizingatia kwa sasa makampuni mengi makubwa yanawahitaji kufanya nao kazi kueneza sifa zake.
Nawaona ni watu waliofanikiwa sana kiuchumi hapo baadae kwa kupitia uchawa wao.
Basi utajiri utakuwa unapatikana kirahisi sanaView attachment 2226011
Unaweza kuwaita chawa,wanaa,wambeya na jina lolote fanani nalo.
Picha hapo juu ni Mwijaku na Baba Levo vijana maarufu kwa sasa hapa Tanzania hasa kwenye tasnia ya sanaa.
Kinachonivutia kwao ni namna wanavyoisaka shilingi pasi na kujali kuitwa majina tajwa hapo juu bali wao wanajali kinachoingia baada ya!
Binafsi naona biashara yao ya uchawa inawalipa hasa ukizingatia kwa sasa makampuni mengi makubwa yanawahitaji kufanya nao kazi kueneza sifa zake.
Nawaona ni watu waliofanikiwa sana kiuchumi hapo baadae kwa kupitia uchawa wao.
Zitto katokea wapi tena?Wajinga tu hawa. Watu wa Kigoma kama Zitto ni wanafiki wanafiki na machawa pro max
Utajiri unauchukiliaje hivi?
Chawa huishia kutobolewa tuToka lini chawa akatoboa
mwijaku ana akili timamu? tuanzie hapoToka lini chawa akatoboa
Kwake zinamtoshamwijaku ana akili timamu? tuanzie hapo