Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtu umeshajifunika shuka ndio unajiuliza hivi nimefunga kweli mlango,inabidi uamke hivo hivo unaenda mlangoni unakuta kumbe mlango ulishaufungaa..hahahaha
Hahhahahaaaa ulifanya colabo na nafsi yakoKweli Mshana Jr.... Mm nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza au la pili hv,nilitaka kujifunza kuandika vizuri Sana darasani. Sasa kwa akili za kitoto sikuwa na wazo la kumuomba mtu nishindane Naye ili nione kama naandika vizuri. Badala yake,nilikuwa natumia mikono yangu yote miwili kushindana. Naanza kwa kuandika kwa kulia kisha kushoto,afu baada ya hapo nalinganisha majibu. Mkono utakaokuwa umeandika vizuri unamfinya mwenzake na unamfokea kabisa.. Nilikuwa naumia mwenyew lakini mwisho wa siku nilipambana mpaka nikawa naweza kuandika kwa mikono yote vizuri Sana. Kwa staili hyo hyo
mie hii hunitokea mara kadhaa, kwahiyo idwarokona ni an kichaa yawa!!Yaani mtu umeshajifunika shuka ndio unajiuliza hivi nimefunga kweli mlango,inabidi uamke hivo hivo unaenda mlangoni unakuta kumbe mlango ulishaufungaa..hahahaha
ninavyopenda kulala naomba sleepless nights zisinikuteUkiwa hujapitia hiyo stage basi jua bado una safari ndefu sana ,kuongea mwenyewe,sleepless nights
mkuu mbona unauonea mmea?Bangi pia zinachangia
Hapana mkuu nauheshimu sana mmea" ila kuna vichwa vingne haviumudumkuu mbona unauonea mmea?
mimi ni nuhanga niombeeni
Ndo hali halisi ya kuitwa mkubwa,Maisha yana maajabu mengi na mojawapo ni hili la watu kuongea pekeyao. ...achana na mazungumzo ya kimya achana na mawazo ya kawaida...hiki ni kitu kilichojengwa katika wizara nyingine kabisa wizara ya mawazo halisia
Sio wendawazimu sio vichaa hawajarogwa hawajalewa ni watu wana akili zao timamu na familia zao na kazi zao lakini wanaongea pekeyao barabarani
Ni changamoto za maisha na mikwamo mingi ndio husababisha yote haya
Migogoro kwenye mahusiano
Changamoto za kipato
Matumizi ya kila siku
Watoto Shuleni
Kodi za nyumba
Madeni
Ndugu...!
Inafika mahali mtu anawaza kwa sauti anaongea na kujijibu mwenyewe, yani katengeneza nafsi mbili kwenye moja anauliza anajijibu anabisha anabisha anashangaa yeye huyo huyo anafikia maamuzi au anasonya au anatukana yeye huyo huyo![]()
Anaweza kutoka ubungo mpaka kimara bila kujijua
Anaweza kukujibu kuwa na fahamu kamili
Ukikutana na mtu kapatwa na ajali ya kugongwa au kugonga usikimbilie kumlaumu ....watu wamebeba mizigo mingi kichwani
Pamoja na changamoto zote ulizo nazo jitahidi Usiwe mmoja wao
.
Yaani mtu umeshajifunika shuka ndio unajiuliza hivi nimefunga kweli mlango,inabidi uamke hivo hivo unaenda mlangoni unakuta kumbe mlango ulishaufungaa..hahahaha