Wanaoongea peke yao wanazidi kuongezeka

Wanaoongea peke yao wanazidi kuongezeka

Kweli Mshana Jr.... Mm nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza au la pili hv,nilitaka kujifunza kuandika vizuri Sana darasani. Sasa kwa akili za kitoto sikuwa na wazo la kumuomba mtu nishindane Naye ili nione kama naandika vizuri. Badala yake,nilikuwa natumia mikono yangu yote miwili kushindana. Naanza kwa kuandika kwa kulia kisha kushoto,afu baada ya hapo nalinganisha majibu. Mkono utakaokuwa umeandika vizuri unamfinya mwenzake na unamfokea kabisa.. Nilikuwa naumia mwenyew lakini mwisho wa siku nilipambana mpaka nikawa naweza kuandika kwa mikono yote vizuri Sana. Kwa staili hyo hyo
 
Kweli Mshana Jr.... Mm nakumbuka nilipokuwa darasa la kwanza au la pili hv,nilitaka kujifunza kuandika vizuri Sana darasani. Sasa kwa akili za kitoto sikuwa na wazo la kumuomba mtu nishindane Naye ili nione kama naandika vizuri. Badala yake,nilikuwa natumia mikono yangu yote miwili kushindana. Naanza kwa kuandika kwa kulia kisha kushoto,afu baada ya hapo nalinganisha majibu. Mkono utakaokuwa umeandika vizuri unamfinya mwenzake na unamfokea kabisa.. Nilikuwa naumia mwenyew lakini mwisho wa siku nilipambana mpaka nikawa naweza kuandika kwa mikono yote vizuri Sana. Kwa staili hyo hyo
Hahhahahaaaa ulifanya colabo na nafsi yako
 
Ni kweli nshawahi kumchk mchz wangu Wa karbu akizungumza baada ya family conflict
 
Ukiwa hujapitia hiyo stage basi jua bado una safari ndefu sana ,kuongea mwenyewe,sleepless nights
714aae1ee684cebfa55f011ab62387b4.jpg

ninavyopenda kulala naomba sleepless nights zisinikute
 
mimi ni nuhanga niombeeni


Tafuta hobby ya kufanya kila siku itakupunguzia mawazo
jaribu kufuma..ili ukikaa unawaza unakuwa unafuma
au fuatilia tamthilia....ili kila siku uwea kitu cha kukufurahisha
 
Maisha yana maajabu mengi na mojawapo ni hili la watu kuongea pekeyao. ...achana na mazungumzo ya kimya achana na mawazo ya kawaida...hiki ni kitu kilichojengwa katika wizara nyingine kabisa wizara ya mawazo halisia
Sio wendawazimu sio vichaa hawajarogwa hawajalewa ni watu wana akili zao timamu na familia zao na kazi zao lakini wanaongea pekeyao barabarani
Ni changamoto za maisha na mikwamo mingi ndio husababisha yote haya
Migogoro kwenye mahusiano
Changamoto za kipato
Matumizi ya kila siku
Watoto Shuleni
Kodi za nyumba
Madeni
Ndugu...!
d729d3f53c6c09178ec38b59a2ae8e4b.jpg
Inafika mahali mtu anawaza kwa sauti anaongea na kujijibu mwenyewe, yani katengeneza nafsi mbili kwenye moja anauliza anajijibu anabisha anabisha anashangaa yeye huyo huyo anafikia maamuzi au anasonya au anatukana yeye huyo huyo
Anaweza kutoka ubungo mpaka kimara bila kujijua
Anaweza kukujibu kuwa na fahamu kamili
Ukikutana na mtu kapatwa na ajali ya kugongwa au kugonga usikimbilie kumlaumu ....watu wamebeba mizigo mingi kichwani
Pamoja na changamoto zote ulizo nazo jitahidi Usiwe mmoja wao
.
Ndo hali halisi ya kuitwa mkubwa,
 
Back
Top Bottom