Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nitapona kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naongea.nacheka mwenyewe sana tu. Kuna kipindi unaenda kumuona mtu basi naanza kuongea jinsi nitakavyomhoji na majibu yake, najijibu mwenyewe hhadi nacheka! Inawezekana kichaa kinaninyemelea?Kuna tatizo kama ugonjwa na kuna tatizo kutokana na kuwaza sana inabidi ujue ni lipi mojawapo hapo
Haswa humu mtandaoni, watu wamezidi kuongea peke yao….
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi naongea.nacheka mwenyewe sana tu. Kuna kipindi unaenda kumuona mtu basi naanza kuongea jinsi nitakavyomhoji na majibu yake, najijibu mwenyewe hhadi nacheka! Inawezekana kichaa kinaninyemelea?
Haha! Ilibidi tu lakini kila nikifikiriaga naona ulikuwa ni utoto.Hahhahahaaaa ulifanya colabo na nafsi yako
Na amini mkuu,mpaka sasa hv bado naandikia mikono yote ila wa kushoto umeuzid ujanja wa kulia......uliokuwa superior than the other.....Ni utoto wenye ubunifu mzuri kulazimisha mkono usioweza kuandika uushindanishe na unaoweza ni kipaji na ubunifu mkubwa.....
kwahiyo tunaweza kuita ni stress au msongo wa mawazo;?na ikikutokea kuna tiba?mwenyewe huwa unajua kama unafanya mambo hayo peke yako?maswali ni mengi,nina hofu ya kukuchoshaMaisha yana maajabu mengi na mojawapo ni hili la watu kuongea pekeyao. ...achana na mazungumzo ya kimya achana na mawazo ya kawaida...hiki ni kitu kilichojengwa katika wizara nyingine kabisa wizara ya mawazo halisia
Sio wendawazimu sio vichaa hawajarogwa hawajalewa ni watu wana akili zao timamu na familia zao na kazi zao lakini wanaongea pekeyao barabarani
Ni changamoto za maisha na mikwamo mingi ndio husababisha yote haya
Migogoro kwenye mahusiano
Changamoto za kipato
Matumizi ya kila siku
Watoto Shuleni
Kodi za nyumba
Madeni
Ndugu...!
Inafika mahali mtu anawaza kwa sauti anaongea na kujijibu mwenyewe, yani katengeneza nafsi mbili kwenye moja anauliza anajijibu anabisha anabisha anashangaa yeye huyo huyo anafikia maamuzi au anasonya au anatukana yeye huyo huyo![]()
Anaweza kutoka ubungo mpaka kimara bila kujijua
Anaweza kukujibu kuwa na fahamu kamili
Ukikutana na mtu kapatwa na ajali ya kugongwa au kugonga usikimbilie kumlaumu ....watu wamebeba mizigo mingi kichwani
Pamoja na changamoto zote ulizo nazo jitahidi Usiwe mmoja wao
.
una matatizo gani vale hadi uanze tabia hii?Hii tabia naona kama inataka kunianza!
Teh ya dunia mengi nduguuna matatizo gani vale hadi uanze tabia hii?
Usijali uliza tu huwa sichoki kujibu kwa kile ninachokijuakwahiyo tunaweza kuita ni stress au msongo wa mawazo;?na ikikutokea kuna tiba?mwenyewe huwa unajua kama unafanya mambo hayo peke yako?maswali ni mengi,nina hofu ya kukuchosha
Ha ha ha basi hata me kichaaKila mtu ni kichaa duniani at a certain extent
The first symptoms of kichaa ni usahaulifu eg kusahau kama umefunga mlango wakati umeshapanda kitandani
Nimekumis wew mtuHa ha ha basi hata me kichaa
Miss u too za kwakoNimekumis wew mtu
Niko poa, tumepotezana kweli kweliMiss u too za kwako
Majukumu tuNiko poa, tumepotezana kweli kweli