Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Pambana mkuuMajukumu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana mkuuMajukumu tu
Sawa mkuuPambana mkuu
[emoji119]Sawa mkuu
Pole sana. Hata avatar yako tu inaonesha tuLimeshakua tatizo SUGU kwangu but stress za maisha pale unapopiga hesabu upo sehemu ambayo hupaswi kuwepo
imani yako imekuponya enenda zako kwa amani.mimi ni nuhanga niombeeni
mkuu mi hata sjafka 25 na nipo stage hyo na naona kama safar yangu inaishia hapa..maisha hayaUkiwa hujapitia hiyo stage basi jua bado una safari ndefu sana ,kuongea mwenyewe,sleepless nights
Maisha yana maajabu mengi na mojawapo ni hili la watu kuongea pekeyao. ...achana na mazungumzo ya kimya achana na mawazo ya kawaida...hiki ni kitu kilichojengwa katika wizara nyingine kabisa wizara ya mawazo halisia
Sio wendawazimu sio vichaa hawajarogwa hawajalewa ni watu wana akili zao timamu na familia zao na kazi zao lakini wanaongea pekeyao barabarani
Ni changamoto za maisha na mikwamo mingi ndio husababisha yote haya
Migogoro kwenye mahusiano
Changamoto za kipato
Matumizi ya kila siku
Watoto Shuleni
Kodi za nyumba
Madeni
Ndugu...!
Inafika mahali mtu anawaza kwa sauti anaongea na kujijibu mwenyewe, yani katengeneza nafsi mbili kwenye moja anauliza anajijibu anabisha anabisha anashangaa yeye huyo huyo anafikia maamuzi au anasonya au anatukana yeye huyo huyo![]()
Anaweza kutoka ubungo mpaka kimara bila kujijua
Anaweza kukujibu kuwa na fahamu kamili
Ukikutana na mtu kapatwa na ajali ya kugongwa au kugonga usikimbilie kumlaumu ....watu wamebeba mizigo mingi kichwani
Pamoja na changamoto zote ulizo nazo jitahidi Usiwe mmoja wao
.
Umenikumbusha shemej yangu, anasonya mpaka wanyamaMi siongei ila nasonya tu, ni misonyo mfululizo
habari yako bwana shemeji, njema kabisa.
Nimeamua kuongea mwenyewe na kujijibu tu. By the way, mith you ex shem lake.
Hapa pa kuona mimea na kudhani ni wanachama nimejikuta nacheka pekeyangu japo inaumiza kama ni ndugu yakoMkuu, umenikumbusha miaka ya nyuma kulikuwa jamaa mmoja alikuwa wenyekiti wa CCM na muda wote alivaa suruali nyeusi na shati la kijani.
Kwa bahati mbaya (nasema bahati mbaya kwa sababu hatua hizi huwa ni haramu wa ccm) akastafishwa kazi. Hapo ndipo shughuli ikawa kubwa.
Alikuwa anatembea na nguzo zake za kijani na nyeusi. Akifika kwenye maashamba ya mitama au mahindi yamestawi wakati wa kilimo, halafu mahindi na mitama ikiyumba kwa tune ya upepo, atasimama na kuiangalia muda mrefu sana na kisha ananyoosha mkono wake wa kulia na kusema kwa sauti "Kidumu Chama Cha Mapind..".
Kumbe muda anapokuwa anashangaa mimea ile ikiyumba na upepo, anakuwa anaona ni wanachama wa ccm wamevaa jezi wakiimba "Ccm ccm".
Nakubali kabisa kwamba kwa hali ya maisha jinsi ilivyo na inavyozidi kuwa ngumu huku watu wakizidi kupoteza matumaini, mambo ya kusema mtu pekee yatazidi kuongezeka tena kwa kasi..
Mungu asaidie Tanzania na vijana wetu. Ajira hakuna, maisha magumu, kutoa mapendekezo hakuna!. Sasa mwisho wake ni nini kama siyo huo?
Ha ha ha ha haUmenikumbusha shemej yangu, anasonya mpaka wanyama
daah acha kabisa mkuu, ubongo wa binadamu ni chaka la simbaWengine mpaka vyombo
wee acha tu maisha haya mtihani kwel kwel.....mfano, mim nikiwaga na furaha/kuna jambo nimelipatia/kulifurahia kama npo alone lazima nizingue, either nicheke or nirushe rushe mikonoHa ha ha ha ha
Unajua ukichaa wewe?
Atoto