Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
TEMESA na Mamlaka zote zinazohusika na Vivuko, Wanatakiwa kuwachukulia hatua kali sana, Waliokuwa wanaongoza MV Kazi leo 22-08-2024 Saa 12:50jioni. Kutoka Upande wa Dar (Magogoni) Kuelekea Kigamboni.
Wamehatarisha sana maisha ya watu.
Kivuko kimetoka Wakati kuna meli iliyokuwa inatoka bandarini.
Awali walisubiri lakini meli ilivyofika karibu na wao wakatoa Kivuko.
Hii ni hatari sana kwasababu Meli na Kivuko vilipishana kidogo sana!
Huku ni kukosa umakini na kuhatarisha maisha ya watu kwa kukusudia kabisa.
Chunguzeni hili jambo sio lakawaida.
Nimetoa hadi muda lilipotokea.
Nimetanguliza hii habari hapa ila kesho nitawasaka pia hao wahusika.
Waache masihara kabisa na maisha ya watu.
Wamehatarisha sana maisha ya watu.
Kivuko kimetoka Wakati kuna meli iliyokuwa inatoka bandarini.
Awali walisubiri lakini meli ilivyofika karibu na wao wakatoa Kivuko.
Hii ni hatari sana kwasababu Meli na Kivuko vilipishana kidogo sana!
Huku ni kukosa umakini na kuhatarisha maisha ya watu kwa kukusudia kabisa.
Chunguzeni hili jambo sio lakawaida.
Nimetoa hadi muda lilipotokea.
Nimetanguliza hii habari hapa ila kesho nitawasaka pia hao wahusika.
Waache masihara kabisa na maisha ya watu.