johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Hatimaye leo Inspector General wa Police Douglas Kanja na DCI Mohamed Amin wamefika mahakamani kujibu tuhuma za utekaji.
View: https://youtu.be/K5wespDzMT4?si=cshLgqYG5_kccdye
Nyie huko watu wanatekwa bibi wa Unguja anasema kifo ni kifo , bunge na mahakama ameziweka kwenye mkoba wake wenye lip bam.
Wamefika na mateka wamepatikana wakiwa maiti Sasa Kuna katiba Bora hapo? 🐼