Wanaopinga bandari kubinafsishwa ni mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa na kukatwa au ni wadini?

Wanaopinga bandari kubinafsishwa ni mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa na kukatwa au ni wadini?

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
Tunaenda kuongeza mapato, na kuongeza ufanisi kwa ujumla wake
Sasa kupinga bila sababu za msingi na kukazania na uzushi tuuu hii inaleta ukakasi,

Kama ni mapungufu si tuyarekebishe tu?
Kwanini kumkataa mwarabu moja kwa moja?
Angekuwa mzungu tungepinga?
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
pamoja
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
[emoji625][emoji625]
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
Miaka kumi kwa biashara ya bandari naona ni michache sana yaani mtu alete mifumo ya maana ya mabillioni halafu mkataba miaka kumi...hivi anakuwa hata kasharudisha mtaji?
Ungekuwa wewe ungekubali mgogoro wako na serikali utatuliwe katika mahakama ambazo jaji anateuliwa na mkuu wa nchi na wakati Kuna mahakama za kimtaifa za utatuzi wa migogoro ya kibiashara.
Halafu nimeona kama ni partnership kwa hiyo Kuna role Kila mmoja atafanya.
Mengine nakuunga mkono...mkataba gani usiovunjwa ila viongizi wetu utadhani hawakufika darasani.
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
That's good👍
 
Mimi sipingi Bandari kukodishwa na Dubai ports World wasi wasi wangu ni mkataba huenda ukawa ni ilie ile mikataba mibovu ambayo Serkali ya CCM huingia miaka yote.

Mikataba ya akina Mangungo na Mkoloni.
 
Ili kuondoa ukakasi wa aina yeyote
Tujadili na kushauri kwa faida bila kujali kubagua kwa namna yeyote
 
Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
Bado unakubali sisi watanzania hatuwezi kwa namna yoyote ile kuendesha bandari?
 
Nchi hii imejawa na walemavu wa Akili kila Kona.
Moderate kwanini mnaacha uchafu kama huu ujadiliwe?
 
Nchi hii imejawa na walemavu wa Akili kila Kona.
Moderate kwanini mnaacha uchafu kama huu ujadiliwe?
Walishafuta nyingine mbili, na huu wakifuta sitashangaa, na hii imedhihirisha kweli kwamba ni kweli either ni udini au ni ufisadi

Vinginevyo msingeshupaza shingo kutaka watu wasijue ukweli
Yaani nyie mdanganye na kushawishi watu ili mkataba usipite ingawa una faida lakini wenzenu wabaki kuangalia tu wasitetee wakati mnapotosha?
 
Tunaenda kuongeza mapato, na kuongeza ufanisi kwa ujumla wake
Sasa kupinga bila sababu za msingi na kukazania na uzushi tuuu hii inaleta ukakasi,

Kama ni mapungufu si tuyarekebishe tu?
Kwanini kumkataa mwarabu moja kwa moja?
Angekuwa mzungu tungepinga?
Toa mawazo ya kurekebishwa....sio kulaumu na kusingizia..
 
Mimi sipingi Bandari kukodishwa na Dubai ports World wasi wasi wangu ni mkataba huenda ukawa ni ilie ile mikataba mibovu ambayo Serkali ya CCM huingia miaka yote.

Mikataba ya akina Mangungo na Mkoloni.
Mkataba upo wazi na utajadiliwa bungeni tarehe 10 /6
Tutege masikio na ikibidi tushiriki,kushauri na kukosoa
Lengo ni zuro ila mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa
 
Toa mawazo ya kurekebishwa....sio kulaumu na kusingizia..
Nimeshatoa maoni yangu ya kurkebisha na natumai yamefanyiwa kazi, na nikiona bado na kuna mapungufu nitasema tena,
Ila kupinga kwa sababu ni mwarabu sikubaliani nalo,
Tunahitaji mwadilifu awaye yeyote
 
Toa mawazo ya kurekebishwa....sio kulaumu na kusingizia..
Nimeshatoa maoni yangu ya kurkebisha na natumai yamefanyiwa kazi, na nikiona bado na kuna mapungufu nitasema tena,
Ila kupinga kwa sababu ni mwarabu sikubaliani nalo,
Tunahitaji mwadilifu awaye yeyote
 
Back
Top Bottom