Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Bado matatizo yapo, hii partnership inawekwaje??Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
1. Wao wanasika na kushusha kupakia mizigo tu, mambo ya ushuru, ulinzi na usalama wanatuachia sisi!!
2. Kazi zote zinazoweza kufanywa na wabongo waaachie wabongo.
3. Malipo kwa wafanyakazi yawe ya kueleweka
4. Watakaokosa kazi walipwe fidia.