inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Sidhani Kama imewahi fanya biashara au wajua biashara...mtu aweke mifumo,ajenge Kisha umpe miaka kumi!?..kujenga tu miaka si chini ya mitatuMbona unamsemea huyo mwekezaji?
Yeye mwenyewe ataongea akiona haitoshi!
Ni issue ya negotiation tu!
Ila serikali yetu iweke offer ya miaka 10