Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Bado matatizo yapo, hii partnership inawekwaje??Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
Obviously kuna kipengele atakuwa ameainisha kwamba atakuwa na performance nzuri kuendeleza bandari so mtaji na faida vitakuwa vimeingia.Miaka kumi kwa biashara ya bandari naona ni michache sana yaani mtu alete mifumo ya maana ya mabillioni halafu mkataba miaka kumi...hivi anakuwa hata kasharudisha mtaji?
Ungekuwa wewe ungekubali mgogoro wako na serikali utatuliwe katika mahakama ambazo jaji anateuliwa na mkuu wa nchi na wakati Kuna mahakama za kimtaifa za utatuzi wa migogoro ya kibiashara.
Halafu nimeona kama ni partnership kwa hiyo Kuna role Kila mmoja atafanya.
Mengine nakuunga mkono...mkataba gani usiovunjwa ila viongizi wetu utadhani hawakufika darasani.
Nini kinasababisha kusiwe na ufanisi?Tunaenda kuongeza mapato, na kuongeza ufanisi kwa ujumla wake
Sasa kupinga bila sababu za msingi na kukazania na uzushi tuuu hii inaleta ukakasi,
Kama ni mapungufu si tuyarekebishe tu?
Kwanini kumkataa mwarabu moja kwa moja?
Angekuwa mzungu tungepinga?
Very well done, haya ndio tunata kusikiaBado matatizo yapo, hii partnership inawekwaje??
1. Wao wanasika na kushusha kupakia mizigo tu, mambo ya ushuru, ulinzi na usalama wanatuachia sisi!!
2. Kazi zote zinazoweza kufanywa na wabongo waaachie wabongo.
3. Malipo kwa wafanyakazi yawe ya kueleweka
4. Watakaokosa kazi walipwe fidia.
Wengi wetu ni wabinafsi na hatuna uadilifuNini kinasababisha kusiwe na ufanisi?
Muda itategemea anawekeza kiasi gani kwa hiyo si rahisi kusema miaka kumi mpk kuona plan yake...kweli Ile ujinga wa kuwapa watu miaka mitano ya kujaribu umepitwa...ila naona siku hizi watz wamekuwa macho watu wamecharuka balaa japo na uongo nao mwingi.Obviously kuna kipengele atakuwa ameainisha kwamba atakuwa na performance nzuri kuendeleza bandari so mtaji na faida vitakuwa vimeingia.
Miaka kumi siyo michache ule wakati wa kuwapa favour watu wafanye kazi kuchuja hasara na faida hizo zama zimeisha mtu anaona kazi anaiweza afanye hawezi apewe mwengine.
Tufanyaje kurekebisha haya?Wengi wetu ni wabinafsi na hatuna uadilifu
Somo la uraia muhimu
Kila mfanyakazi anafanya kwa ubinafsi
Yapo mengi ila la muhimuTufanyaje kurekebisha haya?
Sawa. Sasa si ifanyike hivyo?Yapo mengi ila la muhimu
Tuhakikishe kila anaepewa eneo nyeti awe na elimu ya uraia na uzalendo wa kutosha
Uadilifu, khofu ya Mungu
Tanzania kwanza
Kitu ambacho nina uhakika na DPWorld upigaji utaisha kwenye Bandari ya salama.Mkataba upo wazi na utajadiliwa bungeni tarehe 10 /6
Tutege masikio na ikibidi tushiriki,kushauri na kukosoa
Lengo ni zuro ila mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa
Hapo tu ati.Yafanyiwe kazi yafuatayo;
1. Mda wa mkataba usizidi miaka 10 na iwe renewable
2. Apewe bandari moja au mbili na sio kupewa bandari zote za nchini
3. Akubali tusuluhishe mahakama za ndani kama mmojawapo akizingua
4. Kiwekwe kipengele cha kuvunja mkataba endapo itabidi
mafisadi ya ccm yameiba pesa za umma yakamaliza yameona yaanza kupora na mali asili.Tunaenda kuongeza mapato, na kuongeza ufanisi kwa ujumla wake
Sasa kupinga bila sababu za msingi na kukazania na uzushi tuuu hii inaleta ukakasi,
Kama ni mapungufu si tuyarekebishe tu?
Kwanini kumkataa mwarabu moja kwa moja?
Angekuwa mzungu tungepinga?
Yaap kama kutakuwa na kesi naungana nawe, kwamba zitumike Mahakama za kimataifa na sio za bongo zenye majaji wateule wa Rais....Miaka kumi kwa biashara ya bandari naona ni michache sana yaani mtu alete mifumo ya maana ya mabillioni halafu mkataba miaka kumi...hivi anakuwa hata kasharudisha mtaji?
Ungekuwa wewe ungekubali mgogoro wako na serikali utatuliwe katika mahakama ambazo jaji anateuliwa na mkuu wa nchi na wakati Kuna mahakama za kimtaifa za utatuzi wa migogoro ya kibiashara.
Halafu nimeona kama ni partnership kwa hiyo Kuna role Kila mmoja atafanya.
Mengine nakuunga mkono...mkataba gani usiovunjwa ila viongizi wetu utadhani hawakufika darasani.
How old are you??Very well done, haya ndio tunata kusikia
Big up
Mbona unamsemea huyo mwekezaji?Miaka kumi kwa biashara ya bandari naona ni michache sana yaani mtu alete mifumo ya maana ya mabillioni halafu mkataba miaka kumi...hivi anakuwa hata kasharudisha mtaji?
Ungekuwa wewe ungekubali mgogoro wako na serikali utatuliwe katika mahakama ambazo jaji anateuliwa na mkuu wa nchi na wakati Kuna mahakama za kimtaifa za utatuzi wa migogoro ya kibiashara.
Halafu nimeona kama ni partnership kwa hiyo Kuna role Kila mmoja atafanya.
Mengine nakuunga mkono...mkataba gani usiovunjwa ila viongizi wetu utadhani hawakufika darasani.
Yaani huna uhakika,unapayuka kwa kitu usokijua!!..wabongo bana!!Mimi sipingi Bandari kukodishwa na Dubai ports World wasi wasi wangu ni mkataba huenda ukawa ni ilie ile mikataba mibovu ambayo Serkali ya CCM huingia miaka yote.
Mikataba ya akina Mangungo na Mkoloni.