Wanaopinga bandari kubinafsishwa ni mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa na kukatwa au ni wadini?

Bado matatizo yapo, hii partnership inawekwaje??

1. Wao wanasika na kushusha kupakia mizigo tu, mambo ya ushuru, ulinzi na usalama wanatuachia sisi!!

2. Kazi zote zinazoweza kufanywa na wabongo waaachie wabongo.

3. Malipo kwa wafanyakazi yawe ya kueleweka

4. Watakaokosa kazi walipwe fidia.
 
Obviously kuna kipengele atakuwa ameainisha kwamba atakuwa na performance nzuri kuendeleza bandari so mtaji na faida vitakuwa vimeingia.

Miaka kumi siyo michache ule wakati wa kuwapa favour watu wafanye kazi kuchuja hasara na faida hizo zama zimeisha mtu anaona kazi anaiweza afanye hawezi apewe mwengine.
 
Nini kinasababisha kusiwe na ufanisi?
 
Very well done, haya ndio tunata kusikia
Big up
 
Muda itategemea anawekeza kiasi gani kwa hiyo si rahisi kusema miaka kumi mpk kuona plan yake...kweli Ile ujinga wa kuwapa watu miaka mitano ya kujaribu umepitwa...ila naona siku hizi watz wamekuwa macho watu wamecharuka balaa japo na uongo nao mwingi.
 
Mimi binafsi sijui mambo ya Sheria .....

Namsubiri mwanasheria mkuu wa serikali aongee neno nami nielewe.
 
Mkataba upo wazi na utajadiliwa bungeni tarehe 10 /6
Tutege masikio na ikibidi tushiriki,kushauri na kukosoa
Lengo ni zuro ila mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa
Kitu ambacho nina uhakika na DPWorld upigaji utaisha kwenye Bandari ya salama.
 
Hapo tu ati.
 
mafisadi ya ccm yameiba pesa za umma yakamaliza yameona yaanza kupora na mali asili.
 
Yaap kama kutakuwa na kesi naungana nawe, kwamba zitumike Mahakama za kimataifa na sio za bongo zenye majaji wateule wa Rais....
 
Kiusalama haiko poa kubinafsisha bandari , tatizo letu lipo kwenye role inforcement, Hao mnaowaita mafisadi wangekuwa wanakula shaba tu na Kunyongwa mnona bandari ingefikia huo ufanisi tena hata zaidi ya hizo 233+.

Mnaweka rehani nchi kisa Fisadi wa Kutoka kijiji furani ataiba/kaiba, zimwi likujualo halikuli kukumaliza, hawa tungedili nao tu humu humu ndani kuliko huu upuuzi wa Milele.
 
Mbona unamsemea huyo mwekezaji?
Yeye mwenyewe ataongea akiona haitoshi!
Ni issue ya negotiation tu!
Ila serikali yetu iweke offer ya miaka 10
 
Mimi sipingi Bandari kukodishwa na Dubai ports World wasi wasi wangu ni mkataba huenda ukawa ni ilie ile mikataba mibovu ambayo Serkali ya CCM huingia miaka yote.

Mikataba ya akina Mangungo na Mkoloni.
Yaani huna uhakika,unapayuka kwa kitu usokijua!!..wabongo bana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…