Wanaopinga bandari kubinafsishwa ni mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa na kukatwa au ni wadini?

Mbona unamsemea huyo mwekezaji?
Yeye mwenyewe ataongea akiona haitoshi!
Ni issue ya negotiation tu!
Ila serikali yetu iweke offer ya miaka 10
Sidhani Kama imewahi fanya biashara au wajua biashara...mtu aweke mifumo,ajenge Kisha umpe miaka kumi!?..kujenga tu miaka si chini ya mitatu
 
Yapo mengi ila la muhimu
Tuhakikishe kila anaepewa eneo nyeti awe na elimu ya uraia na uzalendo wa kutosha
Uadilifu, khofu ya Mungu
Tanzania kwanza
Elimu ya uraia haisaidii chochote,wanaopewa dhamana Leo walisoma siasa na urai shule za msingi mpaka sekondari
 

Du haya, safari ni ndefu bafo naona
 
Mwarabu hana tofauti na shetani ataigeuza Tanzania nchi ya magaidi km somalia
 
Yes uko sahihi sana
 
Mkataba upo wazi na utajadiliwa bungeni tarehe 10 /6
Tutege masikio na ikibidi tushiriki,kushauri na kukosoa
Lengo ni zuro ila mafisadi wanaogopa mirija kuzibwa
Hivi waarabu ni wa kuamini!?
Due diligence ya uhakika inahitajika! Tupate kwanza kama hakuna mgongano wa kimaslahi na hao wazanzibar wanaousukuma upite!.
 
Kwa uwekezaji huu mkubwa muda ni mchache.

Apewe miaka 90 Bandari moja ya Tanga.
Akifanya vizuri tumwongezee Bandari nyingine.
Akiharibu ni nafuu kwetu kesi tutaimudu hata kwa Kumlipa.

Lizingatiwe hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…