Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Tukifikia nje ya box.Je huu ni muda sahihi wa kuifanya Chato kuwa mkoa kama ambavyo inatakiwa kwa hoja mbalimbali za kiuchumi,kijamii na maendeleo ya sehemu na idadi ya wakazi.? Kama ni kumuenzi kiongozi aliyepita tukubaliane tumuenzi kwa kumalizia aliyotaka hapo ilipokuwa asili yake regardless pawe pamekidhi au la.
 
Hizo wilaya mbili za Biharamulo na Ngara wanaweza kuzichukua sawa ila wasiguse Muleba kuwachanganya na hiyo jamii aisee.
 
Wengi Sana hapa ni mafundi wa matusi na wanajua kuunguruma ili kuzitishia hoja zenye nguvu kitendo ambacho hoja huwa hsipingwi Kwa matusi na kufoka
 
Kama Chato utakuwa mkoa basi utakuwa mkoa pekee ambapo makao makuu yake ni halmashauri ya wilaya yaani makao makuu ni kijijini.
 
Acha kuzunguka..wewe unataka chato iwe mkoa kwaajili ya kumuenzi Magufuli. Hakuna mjinga hapa, kama ni mkoa basi kahama ndio ianze kwanza kuwa mkoa. Maana imeizidi chato kila kitu!
Imeizidi CHATO kwa nini ebu toa izo sababu tujue
 
Chato kama Chato haipo Sawa ni upendeleo wa kijinga kama itapewa hadhi hiyo.

Maendeleo yapi ya watu laki mbili wanaotaka kulishwa eti Njemba yao ilizaliwa pale au kahamia pale.

Basi tuanzie Butiama kwa Mwalimu Nyerere. Harafu labda tuende Lupaso kwa Mkapa.
Magufuli .
We in unahis butiama panalingana na CHATO acha hoja na chuki zisizo namahana Mzee aliitengeneza CHATO ndo mahana haya yanatokea leo
 
Idadi ya watu, vyanzo vya kiuchumi(mji wote umezungukwa na migodi ya dhahabu), taasisi za kutosha nk
Vipi kuhusu majengo na ofisi za serikali zipo pia za kutosha kama vipo basi waanze na uku ila kama hakuna hakuna sababu
 
Unachosha bure yaani nyie watu mnatafuta tu ili.mama aonekane kuwa Yuko kinyume na Magufuli . Mnachomeka Mambo mengi tu ya kichonganishi ili wapumbavu Kama nyie mubebe kuwa mama anaenda kinyume na aliyokuwa akiyafanya mwendazake.

Kwanza mjue JPM na Mama Ni vichwa 2 tofauti kifikra na kila mmoja lazima mitazamo itofautiane. Mwendazake aliamini kwenye misimamo yake na hivyo sikuwahi kumsikia kiongozi wa chama chake yeyote akimshauri Wala kumkosoa na wa upinzani walikuwa wakisondekwa ndani na wengine kupotea. Mama hayuko hivyo ashasema anapenda kukosolewa
 
Bahati mbaya na wewe umekuja bila facts.Nilitegemea uje na vigezo husika ili tuwaone wengine ama ni wapiga porojo au hoja zao ni za chuki Kama unavyodai.Kusema ni ahadi ya Rais wengine tulimsikia tu yule Mzee Bigambo,ingependeza utulee ushahidi wa ahadi na tujue kwa nini aliahidi hivyo akijua kua Chato Kama Chato haina uwezo kiuchumi wa kuhudumia wilaya zake yenyewe.
 
Kama kila ahadi ya marehemu lazima itekelezwe waanze na zile milioni 50 kila kijiji, laptop kwa walimu n.k...! Chato kuwa mkoa wasubiri baada ya miaka 80!
 
Huduma ni kuwa na mkoa au huduma ziwafuate mliko.
Morogoro na Tabora kwanza.
Nyie chato subiri siku ya mwenge mcheze usiku kucha.
Tukienda hivyo pale chalinze hadi mdoga tutahitaji mkoa.

CHATO MNA;
Uwanja wa ndege,
Bohari ya madawa,
BOT crdb,
Hosp ya kanda,
Uwanja wa mpira,
Taa za kuongozea magari,moshi hatuna.
Chuo cha Veta,
Hotel za kisasa,
Mbuga za wanyama,
Leteni na mengine

Kama ni mkoa uwepo nyakanazi na upewe jina tofauti na chato.mnagombanisha na familia ya mwendazake.
 
Kabisa aisee.
Wanachomfanyia hayati sio sawa kabisaa..
Usaliti ni jambo baya sana, sidhani km mwenda zake angekuwepo Tibaijuka and co ltd wangethubutu kusema wanayoyasema.
 
Back
Top Bottom