Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Magu alikuwa selfish sana, kosa kutwaliwa kwenye makazi ya milele jamaa kweli lisingetoka madarakani 2025, alikuwa hana hata chembe ya aibu
Mimi niliwaonea wivu Sana warundi aisee pale covid ilipofanya yake nikasema Baba nasi tutembelee, hakika Mungu usikia maombi ya wengi yafananayo yaombwapo kwa unyoofu na akutuacha yatima.
 
Kwanza umeedit ujumbe na kuni qoute hayo ni maneno yako na sii yangu, sina sababu ya kukuonea wivu, ila kufuata sheria na taratibu ndio jambo la muhimu na isiwe kama tuliko toka.
Unaweza kuweka mkoa shemu hata watu wanaoga mara mtatu kwa wiki?
Mpaka kugikia ujuevigezo ndo vimetumika na sio peleple
 
Chato kuwa Mkoa ni kupoteza rasilmali za Serikali. Hayo yalikuwa mawazo ya Magufuli na wazo hili ni la ubinafsi. Hata Kisesa na Katoro kuwa Wilaya ni wazo lake na pia upotevu wa rasilmali za Serikali. Kwa nini tu iwe Kanda ya Ziwa?.
 
Mbona ni rahisi tu? Chato iwe makao makuu ya huo mkoa wa Chato na mkoa, Geita iendelee kuwa makao makuu ya wilaya na mji wa Geita. Nyakanazi Biharamlo na Kakonko ziacheni kama zilivyo.
Iwe mkoa so what, why CHATO?
Acheni ujinga, ina mapato ya kujiendesha ama inategemea serikali kuu?
Hiyo burigi ishangiza zaidi ya watalii watano toka ianzishwe?
 
Chato kuwa Mkoa ni kupoteza rasilmali za Serikali. Hayo yalikuwa mawazo ya Magufuli na wazo hili ni la ubinafsi. Hata Kisesa na Katoro kuwa Wilaya ni wazo lake na pia upotevu wa rasilmali za Serikali. Kwa nini tu iwe Kanda ya Ziwa?.
Kwa sababu ya idadi kubwa ya watu
 
Iwe mkoa so what, why CHATO?
Acheni ujinga, ina mapato ya kujiendesha ama inategemea serikali kuu?
Hiyo burigi ishangiza zaidi ya watalii watano toka ianzishwe?
Inawezekana hao wanaosukuma Hoja hii wana maslahi binafsi lakini isiwe kwa gharama ya mikoa mingine. Inaonekana Kati ya Geita na Chato kuna makundi yalikuwa yanashindana kuunda mkoa kimya kimya. Chato walijiiandaa vilivyo kwa kujenga miundombinu wakitegemea itakuwa rahisi, Geita wakawazidi ujanja Chato na hivyo kuwa mkoa.
 
Mbunge wa Geita bwana Kanyasu amehojiwa na radio France idhaa ya Kiswahili amesema kwa sasa Chato ina miundombinu yote inayofanya iwe tayari kuwa mkoa.

Amewabeza wale wote wanaotaka Nyakanazi pawe makao makuu ya mkoa huo kwa kusema mji huo mdogo wa Nyakanazi hauna miundombinu yeyote ya kuufanya uwe mkoa.
Yule mtu angejaliwa miaka mitano mingine basi chato ingekuwa makao makuu ya nchi, kweli Mungu anajua yote.
 
Ijulikane ni budget ya watanzania wote inaenda kutumika na sio budget ya wanageita!! Ili suala lisichukuliwe kiukanda!! By the way Vigezo havijakidhi wasubiri kidogo
 
Mwenzio akipata na wewe jitahidi upate na siyo kumuonea wivu kwanini apate maana wivu ndo unaleta chuki na chuki inapunguza baraka za Mungu, acheni Chato iwe mkoa na bahati za Chato tusizilalie mlango wazi ila tutumie hiyo kwenye mikoa mikubwa kuomba kugawanywa Ili maendeleo yafike kwenye vijiji vyetu kwa haraka na tuondoe traffic jam mjini kwa kisingizio cha kwenda kutafuta maisha mjini.
 
mMbunge wa Geita bwana Kanyasu amehojiwa na radio France idhaa ya Kiswahili amesema kwa sasa Chato ina miundombinu yote inayofanya iwe tayari kuwa mkoa.

Amewabeza wale wote wanaotaka Nyakanazi pawe makao makuu ya mkoa huo kwa kusema mji huo mdogo wa Nyakanazi hauna miundombinu yeyote ya kuufanya uwe mkoa.
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI.

Kama Chato inajitosheleza kwa nini ukamege Biharamulo kutoka Kagera na Kakonko kutoka Kigoma. Au Busanda toka Geita.

Huo ni uchizi wa kiwango cha juu kuliko aliifanya Mwendazake. Hatuwezi KUBARIKI makosa ya Magufuli ya matumizi mabaya ya raslimali za umma kwa kuharibu mizania ya Jiografia na historia ya watu wa Kigoma, Kagera na Geita.

Nyie akina Kanyasu si mumejengewa hizo hospitali na viwanja na hayo ma Zoo ya Burigi, basi bakieni nayo hivyo hivyo
 
Inawezekana hao wanaosukuma Hoja hii wana maslahi binafsi lakini isiwe kwa gharama ya mikoa mingine. Inaonekana Kati ya Geita na Chato kuna makundi yalikuwa yanashindana kuunda mkoa kimya kimya. Chato walijiiandaa vilivyo kwa kujenga miundombinu wakitegemea itakuwa rahisi, Geita wakawazidi ujanja Chato na hivyo kuwa mkoa.
Gwabi ungeweka namba za sim nikutumie vocha.
Huo ndio ukweli, mjini ndio wanaitwa SUKUMA-GANG, si lazma awe msukuma ili ni GENGE lililokuwa limejipangia mgawanyo wa madaraka, na lilijipanga nchi hii isitioke kwenye mikono yao. iliongozwa na bwana yule na yule jamaa aliyempiga rungu la kichwa.
 
Kimsingi hamna namna ya kurudi nyuma! Gharama zilizotumika kuijenga Chato haziwezi kupotea bure.
Kama ni makosa aliyafanya Mwendazake hakuna haja ya kulumbana.
 
Back
Top Bottom