Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Gwabi ungeweka namba za sim nikutumie vocha.
Huo ndio ukweli, mjini ndio wanaitwa SUKUMA-GANG, si lazma awe msukuma ili ni GENGE lililokuwa limejipangia mgawanyo wa madaraka, na lilijipanga nchi hii isitioke kwenye mikono yao. iliongozwa na bwana yule na yule jamaa aliyempiga rungu la kichwa.
Sasahivi wapo hoi
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
Hoja yako kuwa Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la kugharamia watendaji wake,unasema uongo,Ili kujua tuna tatizo kubwa la kuendesha serikali angalia bajeti ya maendeleo,huwa haitoshi,mpaka tukope,wakati mwingine,pesa za maendeleo haziendi asilimia 100,inabidi zilipe mishahara,ndio maana tunaona tusiendelee kuongeza gharama,kinachotakiwa,Geita,Mwanza,Chato,zote ziwe chini ya Katibu tawala mmoja,Kilimanjaro,Arusha,Manyara,chini ya Katibu tawala mmoja,Kagera,Kigoma,vile vile,Dar,pwani,Morogoro nazo pia,
We kwa akili zako,lini ulisikia USA,au UK imegawa state moja kutengeneza state nyingine?kama wenye hela hawaongezi mzigo wa mishahara,kwanini sie?
Harafu kusema njia pekee ya kutengeneza ajira,ni kuongeza watumishi, Hizi ni akili mfu,zilizokufa.
Unahitaji viwanda,na sekta binafsi kuongeza ajira,kuongeza RPC,DAS,RAS,Kuna ongeza vp mapato ya nchi?
 
Gwabi ungeweka namba za sim nikutumie vocha.
Huo ndio ukweli, mjini ndio wanaitwa SUKUMA-GANG, si lazma awe msukuma ili ni GENGE lililokuwa limejipangia mgawanyo wa madaraka, na lilijipanga nchi hii isitioke kwenye mikono yao. iliongozwa na bwana yule na yule jamaa aliyempiga rungu la kichwa.
Mkuu bila hata vocha ni wajibu wangu kugawana madini na wengine kwa kile ninachokijua. Pamoja na kutokuwa mwanasiasa nafahamu hila zote zilizokuwa zimepangwa ila tukumbuke kuwa pembe la ng'ombe halifichiki mifikoni. Hii nchi ni yetu sote hivyo Keki ya taifa sharti igawanywe kwa usawa ili kuepuka lawama.
Nimefika Chato na kujionea kilichokuwa kinapangwa, ni kweli jamaa alikuwa amejipanga kuistaajabisha Dunia, naona alifuata nyayo za PK na M7 katika kupata maendeleo, ila dosari moja tu niliyoiona ni upendeleo na kubebana, mengine tungeweza kumezea..... Hebu angalia hii!.

IMG_20210522_111131_196.jpg
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
Kwani mpaka leo huwajui wahaya na matatizo yao?wao kila kitu wanakijua ni ukabila ni uhaya ndo shida yao.mm napendekeza ila kuupunguza uhaya chato ipewe tu hadhi ya mkoa.OVA
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
Mimi naomba mkoa wa Butiama, Lupilo na Msoga ikimpendeza mama nipate na mkoa wa Mkuranga. Ni hayo tu basi.
 
Chato itabakia kuwa Gbadolite ya Tanzania. Mungu hakupenda ujinga na UPUMBAVU wa Mwendazake kuchukua raslimali za nchi na kwenda kuzirundika kijijini kwake Chato.

Ndiyo maana akamdedisha. Magufuli alikuwa IBILISI.

Kama Chato inajitosheleza kwa nini ukamege Biharamulo kutoka Kagera na Kakonko kutoka Kigoma. Au Busanda toka Geita.

Huo ni uchizi wa kiwango cha juu kuliko aliifanya Mwendazake. Hatuwezi KUBARIKI makosa ya Magufuli ya matumizi mabaya ya raslimali za umma kwa kuharibu mizania ya Jiografia na historia ya watu wa Kugoma, Kagera na Geita.

Nyie akina Kanyasu si mumejengewa hizo hospitali na viwanja na hayo ma Zoo ya Burigi, basi bakieni nayo hivyo hivyo
Kilicho dhahiri, aliishi na roho ya shetani, huku wakati wote shetani akitenda kazi ndani yake.

Ameondoka duniani lakini ibilisi aliyeishi ndani yake, bado anaishi na kutenda kazi katika mioyo ya wafuasi wake.

Hakika nawaambieni, hakuna mtawala mwenye Roho wa Mungu anayeua watu wake, anayeteka na kupoteza watu wake, anayebagua watu wake.

Marehemu alitapanya mali za umma kwa ubinafsi wake, kwa kupendelea kijiji chake. Akajiona mshindi wa kila kitu. Hakujua kuwa juu yetu sote yupo mkuu kuliko wote. Huyu ndiye aliyemwambia yule tajiri ..... mpumbavu wewe, usiku wa leo, naitaka Roho yako. Uwanja wa ndege wa kimataifa hakuufaidi, bohari kuu ya madawa ya kanda hakuifaidi, bank ya CRDB aliyolazimisha ijengwe hakuifaidi, mbuga ya wanyama ya kutengenezwa hakuifaidi, hospitali ya rufaa ya kanda hakuifaidi, uwanja wa mpira wa kisasa hakuuona.

Mbaya zaidi, wafuasi wa mwendazake bado wamepigwa upofu, hata hawajifunzi chochote kutokana na matendo makuu ya Mungu. Wamefungwa ufahamu ili watazame lakini wasione, wasikilize lakini wasisikie. Hawa ni lazima wataionja sehemu ya adhabu ya uovu ule wa aliyetutangulia maana wamenyimwa hekima na ufahamu.
 
Unajenga hospitali ya rufaa inayozidi Bugando kwenye kijiji cha Chato, Unajenga uwanja wa ndege kwenye kijiji cha Chato. Sasa hivi ndege gani inatua pale?.
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
UKABILA NA UBINAFSI wa SUKUMA GANG.

NOTE:Sukuma-gang inajumuisha watu wa kabila zote walio jitoa ufahamu na kutaka kuifanya hii nchi ni jamhuri ya Sukuma bila kujali ina zaidi ya makabila 136.
Mungu si adhumani akafanya mpango ushindikane.
Hata Sabaya ni Sukuma Gang, na kuna WAsukuma Wengi si-Sukuma Gang.
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
Na uwe mkoa
 
Mkoa huu kama makao makuu yangewekwa nyakanazi ingekuwa vizuri sana sema chato nako mbali kutoka ngara mkuu
 
Hoja kama NNE hivi zinatumiwa na watu wenye kupinga Chato kufanywa Mkoa. Bahati mbaya kwao, HOJA zote ni dhaifu. Kwa sababu hiyo, Chato isipokuwa Mkoa ni kwa sababu mwenye mamlaka (Rais) hapendi kuifanya kuwa Mkoa sio kwa sababu haina sifa. Chato ina sifa za kuwa Mikoa miwili sio mmoja.

Hoja zinazotumiwa kupinga Chato kuwa Mkoa na udhaifu wake;

1. Historia
Wanasema kwamba ramani inaonesha Chato ni sehemu ya Wilaya ya Bihalamulo Mkoa wa Kagera. Nadhani hapa wanajaribu kuonesha kwamba Chato haipaswi kuwa Mkoa wa kujitegemea nje ya Kagera. Ni bahati mbaya sana kwamba hizi ni fikra za Profesa. Kama watu hawa na historia zao wangesikilizwa tangu zamani, leo tusingalikua na Mikoa 31 kwa sababu tulianza na Mikoa 15 hivyo Mikoa mingine 16 imetokana na hiyo 15. Ni lazima Mikoa ya asili ikubali kuzaa Mikoa mingine ili nchi ichangamke. Hizi ni fikra potofu, dhaifu za kizamani. Historia haiwezi kutumika kama kingo za maendeleo badala yake historia itusaidie kuendelea sio kusimama tulipo, kutengeneza Mkoa ni maendeleo!! Hii hoja ya historia haipo, inakufa.

2. Udogo wa eneo
Sababu hii pia haipo, haina maana yoyote. Katika sababu na vigezo vya kuanzisha mamlaka za Serikali za Mitaa kigezo cha ukubwa au umbali wa eneo hakipo. Chato ikiwa na watu 300,000 na ukubwa wa Kilomita za mraba 10,000 halafu Tabora ikawa na watu 200,000 kwa kilomita za mraba 76,000 bado Chato itafaa kuwa Mkoa kuliko Tabora. Wenye hoja hii sijui wanaipata wapi, vigezo vikubwa katika kuanzisha Mikoa ni shughuli za uchumi na idadi ya watu. Zingine ni huduma za kijamii, basi. Hakuna kigezo cha ukubwa wa eneo wala urefu. Chato inaweza isichukue hata hizo Wilaya 1 Kigoma na 2 Kagera na bado ikastahili kuwa Mkoa kwa sababu ina idadi ya watu wenye kukidhi mahitaji. Kuzisogeza Wilaya hizo za Kagera na Kigoma ni kujali zaidi watu, kuwasogezea karibu huduma. Sababu hii ya ukubwa wa eneo haina maana yoyote, inakufa kabisa.

2. Ukabila
Ukisoma maoni yao au kuwasikiliza kwa makini wenye kupinga hoja ya Chato kuwa Mkoa japo hawasemi lakini wanasukumwa na Ukabila (ubinafsi). Wote ni watu wa Mkoa wa Kagera, wote wanasema historia ya Kagera itapotea ikiwa Wilaya za Bihalamulo na Ngara zitapelekwa Chato. Wanachosema hapo ni kwamba kuchukua Wilaya za Kagera ni kuvunja historia ya watu wa Kagera. Huu ndio ukabila wenyewe!! Hii ni sababu ya hovyo sana, sababu ya kibinafsi, kibaguzi na ni hatari kwa ustawi wa nchi ikiwa itaachwa iendelee. Tulianzisha Mikoa kama replacement ya tawala za ki-chief ili kuvunja Ukabila halafu watu wa Kagera wanaleta ukabila katika karne hii, tunapaswa kuwaonya.

3. Gharama za Uendeshaji
Wanasema ni gharama kuendesha Mkoa karibu na Mikoa mingine, Mkoa mdogo usio na sababu ya kuwepo. Wanasema wananchi watabebeshwa mzigo mkubwa kuhudumia isivyo na maana yoyote. Unaweza kujiuliza kama watu hawa wanaishi nchi hii. Huu ni uongo tu, Tanzania haijawahi kuwa na tatizo la gharama za kuendesha mamlaka zake. Tunahudumia ofisi za Wakuu wa Wilaya nchi nzima wasio na kazi, Wakuu wa Mikoa nchi nzima wasio na kazi, Mawaziri wasio na kazi yoyote.

Kwa vyovyote Mkoa wa Chato sio lolote katika gharama. Hii haiwezi kuwa hoja ya msingi kuzuia Chato kuanzishwa. Kwa kawaida kila jambo lina faida na hasara zake, Mkoa wa Chato utakua na faida na hasara zake. Kinachoitwa gharama ni fursa ya ajira kwa watu wetu. Kwa lugha nyingine hizo ndizo njia ambazo nchi yetu hutengenezea ajira zake. Kwa kuanzisha Mkoa wa Chato, tutaanzisha Idara zote za wataalam katika kada zote. Kuanzia elimu, afya, jamii hadi Polisi. Kwa kufanya hivyo tutapata nafasi ya kuajiri watu wetu, nchi yetu haina namna nyingine ya kutengeneza ajira zaidi ya hizo. Tunataka ajira halafu tunaogopa gharama za kutengeneza ajira, haiwezekani.

Kwa kifupi hakuna HOJA ya maana ya kuizuia Chato kuwa Mkoa. Ni watu wenye chuki na ukabila tu ndio wanaweza kupinga hoja hiyo. Wenye kuipinga hoja hiyo kwa sababu ni ahadi ya Rais Magufuli wanakosea pia. Hayati John Pombe Magufuli aliahidi na kutekeleza mambo mengi, aliahidi Barabara ya Morroco Dar, ikajengwa. Aliahidi Hospital ya Rufaa Dodoma (Uhuru) nje ya Ilani ikajengwa. Aliahidi Msikiti Mkubwa Dodoma na Uwanja wa Mpira vinajengwa.

Aliahidi vingi vingine vilikamilika vingine bado na vitakamilishwa. Ahadi zote hizo ni pamoja na Chato kuwa Mkoa, ni lazima tukamilishe ahadi za Rais. Rais akiahidi Urais umeahidi hata akifa ahadi inabaki Ikulu, Urais ni mamlaka sio mtu.Tuache longolongo tutekeleze ahadi Chato ni zaidi ya Mkoa mmoja.

#TutakuenziDaimaJPM.
MenukaJr .
Da'slama.
Hoja za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.

Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado unataka utushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa?? You are not serious.

Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa Chato hadhi ya mkoa itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.

Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tukiwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131
 
Back
Top Bottom