Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

Ikiwa mnashabikia haya ya Chato kwa bidii hivi kwanini mnaogopa na kubeza sera za majimbo?
 
Mkoa wa Chato teh teh teh

Hii nchi hii... ila mama samia sio mjinga kiasi hicho.
 
Mbunge wa Geita bwana Kanyasu amehojiwa na radio France idhaa ya Kiswahili amesema kwa sasa Chato ina miundombinu yote inayofanya iwe tayari kuwa mkoa.

Amewabeza wale wote wanaotaka Nyakanazi pawe makao makuu ya mkoa huo kwa kusema mji huo mdogo wa Nyakanazi hauna miundombinu yeyote ya kuufanya uwe mkoa.
 
Kwanza umeedit ujumbe na kuni qoute hayo ni maneno yako na sii yangu, sina sababu ya kukuonea wivu, ila kufuata sheria na taratibu ndio jambo la muhimu na isiwe kama tuliko toka.
 
Safi sana wanachato kwa maandalizi mazuri kuingia kwenye orodha ya mikoa. Pigeni kazi huku wengine wamekaa kueneza ukabila kuna lichama eti linadai jpm alikuwa anapendelea kanda ya ziwa wa kati huohuo linatafuta huruma ya wanakanda ya ziwa hopeless mwenye chama
 
We in unahis butiama panalingana na CHATO acha hoja na chuki zisizo namahana Mzee aliitengeneza CHATO ndo mahana haya yanatokea leo
Hakuna pesa ya kuwanunulia ukuu wa mkoa, wengi wao wamekibia vita ya Burundi, Rwanda, na Congo.ni wahamiaji.
Kwanini wasidai mkoa kwa nchi zao za asili?
 
Labda waanzishe chuo cha kuua watu ndio watamuenzi muuaji vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…