Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Sijaona kama una hoja nyingine zaidi ya hii. Kifupi ni kuwa padri wala mchungaji HANA NA HATAKUWA NA UWEZO WA KUMWONDOLEA MTU DHAMBI. Ni Mungu pekee anafanya hilo. Sema binadamu wanahiaji utukufu waweze pata sababu ya kupewa sadaka na kicho. Sijui hata kama unaweza elewa kiswahili hiki chepes hivi.
Usisome Biblia kwa kurukaruka....