Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi

Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi

Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi

Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi

Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi

Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
 
Kumbe TICS nao mkataba wao na bado tumewapiga chini kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi


Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi


Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi


Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi


Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi


Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Mhe. PROF. MAKAME MNYAA MBARAWA (Mb) Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Akiwa mjini Dodoma, Tzania, kutia saini kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai Kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleo
JamiiForums-768625576.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwi kwi kwi the teh teh

Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.

Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?
Baada ya bunge kujadili na kupitisha.

Baada ya wazuri mkuu kuhitimisha hoja ya kuhairisha bunge.

Baada ya MH rais Samia kusema yeye ni vitendo tu kilichobaki ni kelele tu

USSR
 
Mhe. PROF. MAKAME MNYAA MBARAWA (Mb) Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Akiwa mjini Dodoma, Tzania, kutia saini kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai Kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleoView attachment 2687041

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni kuendeleza bandari kiuchumi na kijamii tu wala hamsemi mko bize na aliyesaini

USSR
 
Kumbe TICS nao mkataba wao na bado tumewapiga chini kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi....

Kumbe unatetea matokeo ya uwekezaji ambayo bado ni ya kufikirika. Wala huzungumzii vifungu tata vya mkataba.

Kumbe tuna makampuni ya uchimbaji madini hadi leo nchi haijafaidika inaambulia mashimo na uchafuzi wa mazingira. Wala husemi hilo.

Kumbe tuna Kituo cha Uwekezaji (TIC). Wala huhoji kwa nini DPW isipitie huko
 
Kumbe unatetea matokeo ya uwekezaji ambayo bado ni ya kufikirika. Wala huzungumzii vifungu tata vya mkataba.

Kumbe tuna makampuni ya uchimbaji madini hadi leo nchi haijafaidika inaambulia mashimo na uchafuzi wa mazingira. Wala husemi hilo.

Kumbe tuna Kituo cha Uwekezaji (TIC). Wala huhoji kwa nini DPW isipitie huko
Hata wanao pinga ni kufukirika tu maana bado mkataba wenyewe na DP bado hawaja anza kuoparate

USSR
 
Kwi kwi kwi the teh teh

Haloooo tehe he koho koho
Majadiliano yepi tena?
Usijiondoe Ufahamu....
Irrelevant
Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.
Hayajaisha Dada weye, tulia Usubiri-Narudia tena, Usijiondoe Ufahamu
Hapa unapiga porojo na Watanzania,
Tatizo lako ni nini, Nisipige porojo na Watanzania wenzangu.....
Swali kwenye bandiko kuu/mada limeuliza moja kwa moja

Wanaopinga mkataba wa DP njooni hapa mseme mnataka nini?​

Majibu yangu yapo wazi kama swali lilivyo!

Hivi unafikiri Watanganyika wamelala?
Uliniuliza mie, Unataka kuniamsha?

Umehongwa?
 
Haloooo tehe he koho koho

Usijiondoe Ufahamu....

Irrelevant

Hayajaisha Dada weye, tulia Usubiri-Narudia tena, Usijiondoe Ufahamu

Tatizo lako ni nini, Nisipige porojo na Watanzania wenzangu.....
Swali kwenye bandiko kuu/mada limeuliza moja kwa moja

Wanaopinga mkataba wa DP njooni hapa mseme mnataka nini?​

Majibu yangu yapo wazi kama swali lilivyo!


Hivi unafikiri Watanganyika wamelala?
Uliniuliza mie, Unataka kuniamsha?

Umehongwa?
Toka lini kelele za mlango zikamstuwa mwenye nyumba?
 
Back
Top Bottom