Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi


Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi


Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi


Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi


Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi


Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Kama tulikosea kwa TICS tuendelee na makosa yaleyale kwa DPW.
 
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi


Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi


Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi


Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi


Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi


Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Enzi za giza zimeshapita boss
 
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Huo ni Uwongo!
Wapi kwenye huo Mkataba unaposema Wataajiri Madereva?

Unapotosha
 
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi


Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi


Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi


Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi


Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi


Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Hivi JF Ina wajinga kiasi hiki.

DP world ana Operate kwenye Nchi nyingi .


Suala sio DP world, Suala ni MKATABA NA KILICHOMO.


wanaopinga, tunataka Mkataba upitiwe upya ili walete kitu ambacho ni Win-Win.

Hatupingi uwekezaji !!. Hata Ivo, kwa Nchi yenye Kujitambua, Kuna Sehem nyetinyeti ni lazima, ZIWE CONTROLLED NA SERIKALI MOJA KWA MOJA.



Kumbe JF Ina wajinga hivi !!!!
 
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Mbona hilo limezengumziwa sana tu Humu; Hoja zingine zilihoji "mbona Rwanda wana bandari kavu zinazoendeshwa na DPW, kwanini sisi Watanzania tuwakatae?" Hatahivyo huo ni uwongo pia. Tanzania peke yake Imetumia matrillioni ya Shilingi kuboresha, kujenga na hata kupanua Bandari kavu Tanzania. Fedha zetu!

Ati wanajenga Nchi Jirani! so what?
Unapotosha
 
MIMI NIPO NEUTRAL.
SIPO KWA WANAOPINGA MKATABA WALA WANAOSUPPORT MKATABA ILA KERO YANGU NI WALE AMBAO WANATAKA JAMIIFORUMS YOTE MADA ZIWE NI DP WORLD.
DUNIA HAIENDI HIVYO KUNA MAJUKWAA NDIO YANAHUSIKA NA MAMBO YA SIASA PELEKENI HUKO MALUMBANO YENU YA HOJA,MAKELELE,UTETEZI NA YOTE YAHUSUYO DP WORLD.
UNAKUTA MTU UMEANZISHA ZAKO UZI MMU MTU ANAKUJA KUKOMENTI MAMBO YA DP WORLD.
MNAKERAAAAAAA
AU UKUTE MADA WALA HATA HAIHUSIANI WATU WANAKUJA NA MADP WORLD YAO.

NB: JamiiForums na moderators kuna kipindi mlinipiga ban kwa sababu za kusambaza habari za YANGA kipindi kile anacheza fanali ya CAFCC.
SASA Msipowashughulikia au kuwaonya wanaochafua nyuzi mbalimbali zisizohusiana na DP WORLD.
NITAANZA KUSAMBAZA HABARI ZA YANGA KWENYE THREADS MBALIMBALI.
 
Hivi JF Ina wajinga kiasi hiki.

DP world ana Operate kwenye Nchi nyingi .


Suala sio DP world, Suala ni MKATABA NA KILICHOMO.


wanaopinga, tunataka Mkataba upitiwe upya ili walete kitu ambacho ni Win-Win.

Hatupingi uwekezaji !!. Hata Ivo, kwa Nchi yenye Kujitambua, Kuna Sehem nyetinyeti ni lazima, ZIWE CONTROLLED NA SERIKALI MOJA KWA MOJA.



Kumbe JF Ina wajinga hivi !!!!
Wewe ni kiazi ,

Wabunge walisha weka mawazo ya kupitiwa upya,

Waziri mkuu lishasema kuwa wameyachukua mashauri yote ya nje na ndani ya Bunge.

Kiazi mbatata Kama wewe na akili za lapili b nani akuelewe

USSR
 
MIMI NIPO NEUTRAL.
SIPO KWA WANAOPINGA MKATABA WALA WANAOSUPPORT MKATABA ILA KERO YANGU NI WALE AMBAO WANATAKA JAMIIFORUMS YOTE MADA ZIWE NI DP WORLD.
DUNIA HAIENDI HIVYO KUNA MAJUKWAA NDIO YANAHUSIKA NA MAMBO YA SIASA PELEKENI HUKO MALUMBANO YENU YA HOJA,MAKELELE,UTETEZI NA YOTE YAHUSUYO DP WORLD.
UNAKUTA MTU UMEANZISHA ZAKO UZI MMU MTU ANAKUJA KUKOMENTI MAMBO YA DP WORLD.
MNAKERAAAAAAA
AU UKUTE MADA WALA HATA HAIHUSIANI WATU WANAKUJA NA MADP WORLD YAO.

NB: JamiiForums na moderators kuna kipindi mlinipiga ban kwa sababu za kusambaza habari za YANGA kipindi kile anacheza fanali ya CAFCC.
SASA Msipowashughulikia au kuwaonya wanaochafua nyuzi mbalimbali zisizohusiana na DP WORLD.
NITAANZA KUSAMBAZA HABARI ZA YANGA KWENYE THREADS MBALIMBALI.
Unajadili nini hapa unadhani jamiiforums alianza mamako ili wewe na mmeo mjadili ishu za period zako

USSR
 
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Muongo.
Kianzio tu, DPW kuwa na mawakala duniani hakumaanishi mizigo Itaongezeka, isitoshe Waziri mbarawa ametoa kisio tu, narudia kisio tu ambalo linatarajiwa kufikiwa baada ya miaka 10 na kisio hilo halizidi asilimia 35% Vilevile hoja kuu ya Viongozi ni Mapato Mapato Mapato.

Piga ua kuwa na Monopoly haiwezi kutafsiriwa ongezeko lelote lina tija Tanzania....kuukamata mnyororo wote wa Usafirishaji hauna tija Tanzania.

Wacha upotoshaji
 
Back
Top Bottom