KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Wewe ni choko kama machoko wengine kushadadia wanaume.Hao makomandoo uchwara kwenye avatar ndio wanakupasua trako wamekupa kiburi
USSR
Maku la mammayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni choko kama machoko wengine kushadadia wanaume.Hao makomandoo uchwara kwenye avatar ndio wanakupasua trako wamekupa kiburi
USSR
Tumesema Bandari ni uti wa mgongo wa Mtanzania. Takwimu zinaonyesha mapato ndani ya 40% saa mnaanza kuzishusha ati 37% Na ndio tunasema, hatuwezi kumtegemea Mwarabu au tumwachie atitingishie kiberiti kwa hiyo 40% tuliyokuwa nayo! Wapi royal tour? wapi mapato ya Loliondo, Serengeti mpaka mmeangamiza Jamii nzima ya Mmasai kwa hoja hizo hizo za kuongezea mapato Serikali?Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Umesoma nilicho andika lakini ,DP wanaweza kupandisha kutoka 37%hadi 67%Tumesema Bandari ni uti wa mgongo wa Mtanzania. Takwimu zinaonyesha mapato ndani ya 40% saa mnaanza kuzishusha ati 37% Na ndio tunasema, hatuwezi kumtegemea Mwarabu au tumwachie atitingishie kiberiti kwa hiyo 40% tuliyokuwa nayo! Wapi royal tour? wapi mapato ya Loliondo, Serengeti mpaka mmeangamiza Jamii nzima ya Mmasai kwa hoja hizo hizo za kuongezea mapato Serikali?
Nchi haiendeshwi kwa kuning'iniziwa hereni yake yakhe!
Wewe ni lijinga, kuanzia Leo siiamin JF Tena.Wewe ni kiazi ,
Wabunge walisha weka mawazo ya kupitiwa upya,
Waziri mkuu lishasema kuwa wameyachukua mashauri yote ya nje na ndani ya Bunge.
Kiazi mbatata Kama wewe na akili za lapili b nani akuelewe
USSR
USSRMuongo.
Kianzio tu, DPW kuwa na mawakala duniani hakumaanishi mizigo Itaongezeka, isitoshe Waziri mbarawa ametoa kisio tu, narudia kisio tu ambalo linatarajiwa kufikiwa baada ya miaka 10 na kisio hilo halizidi asilimia 35% Vilevile hoja kuu ya Viongozi ni Mapato Mapato Mapato.
Piga ua kuwa na Monopoly haiwezi kutafsiriwa ongezeko lelote lina tija Tanzania....kuukamata mnyororo wote wa Usafirishaji hauna tija Tanzania.
Wacha upotoshaji
Tumeshasema, huu ni Ukoloni 3.0 tunajua karibia asilimia 40% ya shares za DPW ni za Wazungu.. Ndio maana tunaukataa huu Mkataba....na hata angekuwa Mzungu ndio kabisa hatutaki aje aendeshe Bandari yetu-Tunajua Mwarabu(mjomba) ametumiwa!Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Bib kalale bhna acha kujichoresha hapaHapa napiga porojo na kuelimisha wajinga wajinga kama wewe.
Mnanipotezea muda vizuri.
Acha ujinga na wew umejaza pumba namashudu hapaMIMI NIPO NEUTRAL.
SIPO KWA WANAOPINGA MKATABA WALA WANAOSUPPORT MKATABA ILA KERO YANGU NI WALE AMBAO WANATAKA JAMIIFORUMS YOTE MADA ZIWE NI DP WORLD.
DUNIA HAIENDI HIVYO KUNA MAJUKWAA NDIO YANAHUSIKA NA MAMBO YA SIASA PELEKENI HUKO MALUMBANO YENU YA HOJA,MAKELELE,UTETEZI NA YOTE YAHUSUYO DP WORLD.
UNAKUTA MTU UMEANZISHA ZAKO UZI MMU MTU ANAKUJA KUKOMENTI MAMBO YA DP WORLD.
MNAKERAAAAAAA
AU UKUTE MADA WALA HATA HAIHUSIANI WATU WANAKUJA NA MADP WORLD YAO.
NB: JamiiForums na moderators kuna kipindi mlinipiga ban kwa sababu za kusambaza habari za YANGA kipindi kile anacheza fanali ya CAFCC.
SASA Msipowashughulikia au kuwaonya wanaochafua nyuzi mbalimbali zisizohusiana na DP WORLD.
NITAANZA KUSAMBAZA HABARI ZA YANGA KWENYE THREADS MBALIMBALI.
Ushawafuatilia ukaajua wana kesi ngap kwenye nchi walizo invest?Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Yameishaje?![emoji101]Kwi kwi kwi the teh teh
Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.
Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Muongo. Na unabisha? Tuwekee huo mtambo hapa unaitwaje, tuwekee huo mtambobkamanulivyowekwa kwenye Nchi zingine ilipofanya Uwekezaji au inapofanya Uendeshaji.Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Wewe kesi yako ya utapeli USA iliishaje? Ulilambwa miaka mingapi? Unafikiri tumekusahau?
Tuwekee hicho kipengele kwenye Mkataba huo unaosema hivyo! Bila hayo huo ni Upotoshaji. Ni Uwongo. Hatahivyo haileti mantiki wala tija kuwa na kamati ya aina hiyo(High level Comittee) manake ndio unataka tuamini hivyo!Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Nchi ganiKwi kwi kwi the teh teh
Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.
Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?