Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo nao ni Upotoshaji.Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wanaoUnga mkono wamekula Rushwa? Wametoa ahadi, wamepewa ahadi?Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
Umekula hongo wewe mumla nguruwe ...ila mutatapika hizo burunguti za WalodiKwi kwi kwi the teh teh
Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.
Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?
Hata wanao pinga ni kufukirika tu maana bado mkataba wenyewe na DP bado hawaja anza kuoparate
USSR
Unakosea unaposema Nchi na Nchi, sema Nchi na JimboKwi kwi kwi the teh teh
Majadiliano yepi tena? Unaota? Hayo mmbona yaliisha zamani baina ya nchi na nchi.
Hapa unapiga porojo na Watanzania, umelala?
Achana na porojo nguru.we wewe hata na walevi wanatoa hoja za mantiki ule mkataba sijuwi makubaliano na Walodi ni mavi yko tuuWewe kesi yako ya utapeli USA iliishaje? Ulilambwa miaka mingapi? Unafikiri tumekusahau?
Ha ha . Nitakuchua vizuri tu, kelele zisikusumbue na wala Usiwe na hofu nani yupo mlangoni.Toka lini kelele za mlango zikamstuwa mwenye nyumba?
Mlango ni nani na mwenye nyumba ni nani ?Toka lini kelele za mlango zikamstuwa mwenye nyumba?
warudi kwao hata sisi tunaweza kuziendesha wenyewe.Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Wacha we!Soma kwa kutulia acha kelele unadhani makontena yatajipeleka mwenye bandari kavu
USSR
Samia piga kazi achana na wakala wa majiziKumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Labda uendeshe mattercore yakowarudi kwao hata sisi tunaweza kuziendesha wenyewe.
Na wewe ulimsikiliza Mbarawa Bungeni? Hata hivyoUmesoma nilicho andika lakini ,DP wanaweza kupandisha kutoka 37%hadi 67%
USSR
Nina uhakika na majibu niliyokupa katika bandiko langu #40 huko juu kwa hoja yako hii hapaWewe unao uhakika kwa lipi zaidi ya kisio biashara zote ni makisio tu
USSR
Na wewe ulimsikiliza Mbarawa Bungeni? Hata hivyo
DPW haji Tanzania kuja kuiongezea Mapato Serikali...(Sio Dhamira yake) .na ndio tunasema hatuwezi kumuachia Muarabu atutingishie kibiriti... na 40%(tuliyojijengea kwa jasho la mtanzania).hatuwezi tukumuachia mgeni awe ana control mapato ya Serikali! Unajua maana ya Sovereign? Unajua uhuru wetu wa kujiamlia ndio unaweza kutekwa hapo, au unajiondoa ufahama?
Nimekusoma nimekujibu
Usipotoshe
Source?Miaka 25 na tunaweza kuongeza au kupunguza , renewable contract
USSR