Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu aliulizia bei ya Toilet Paper, kindly find attached FYA...Kumbe ni kuendeleza bandari kiuchumi na kijamii tu wala hamsemi mko bize na aliyesaini
USSR
Maaskoffuu ndo wafaidika wakubwa wa bandarini ,lazima wapige keleleacha kuvidhalilisha vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama wetu kwamba hawawaoni mawakala wa majizi[emoji35]
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile ap
How ?. Ndio wanaoiba radio na kupitisha makontena makochi bila kulipia kodi mpaka icd zao zikafungwa?Maaskoffuu ndo wafaidika wakubwa wa bandarini ,lazima wapige kelele
Matusi ni dalili tosha ya ukosefu wa hoja.Call and ask your mom about my IQ
USSR
Pande zote (watetezi na wapinga mkataba) wanazo hoja, lakini, lakini, lakini japo matokeo ya uwekezaji huo ndio yataamua nani mkweli, jibu litapatikana kwenye Chaguzi za Kitaifa zijazo.Hata wanao pinga ni kufukirika tu maana bado mkataba wenyewe na DP bado hawaja anza kuoparate
USSR
Binafsi sielewi hasa wanataka nini maana Kila walichozusha na kupotosha Serikali imejibu vizuri kabisa..Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Yani pamoja na kelele zote za wananchi hata mama bado anajidai hajuii tatizo liko wapi kwenye hili jambo??? Wanajua sana ila kujitoa ufahamu tu tahiraa pekee ndo anaweza kubali mkataba usiokuwa na kikomoo...mkataba usioweza kuuvunja.Binafsi sielewi hasa wanataka nini maana Kila walichozusha na kupotosha Serikali imejibu vizuri kabisa..
Sana sana ni chokochoko so wanaweza shughulikiwa.
Tueleze wewe tatizo ni lipi?Yani pamoja na kelele zote za wananchi hata mama bado anajidai hajuii tatizo liko wapi kwenye hili jambo??? Wanajua sana ila kujitoa ufahamu tu tahiraa pekee ndo anaweza kubali mkataba usiokuwa na kikomoo...mkataba usioweza kuuvunja.
Pamoja na kuandika tatizo hapo juu hujalijua bado[emoji28][emoji28][emoji28]Tueleze wewe tatizo ni lipi?
Nashukuru kuwa umekiri mkataba/makubaliano hayakuwa na mwishoKumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi
Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi
Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi
Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi
Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi
Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi
Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.
Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.
Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi
Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.
Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.
Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe
USSR
Sijaliona taja tatizo ni nini? DP World wenyewe wanachukua only 8% ya Bandari Ili watazamiwePamoja na kuandika tatizo hapo juu hujalijua bado[emoji28][emoji28][emoji28]
Unafikiri ndoa ya kanisani hiyo?Kumbe hatutaruhusiwi kuvunja mkataba hata kama kutakuwa na mgogoro 'hata hamsemi'