Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Wanaopinga mkataba wa DP World njooni hapa mseme mnataka nini?

Kwanza TICS Ni kitu gani?
You may have a brain but I daught if you use it.
 
Kumbe ni kuendeleza bandari kiuchumi na kijamii tu wala hamsemi mko bize na aliyesaini

USSR
Kuna mtu aliulizia bei ya Toilet Paper, kindly find attached FYA...
 

Attachments

  • Screenshot_20230714.jpg
    Screenshot_20230714.jpg
    122.2 KB · Views: 1
Hata wanao pinga ni kufukirika tu maana bado mkataba wenyewe na DP bado hawaja anza kuoparate

USSR
Pande zote (watetezi na wapinga mkataba) wanazo hoja, lakini, lakini, lakini japo matokeo ya uwekezaji huo ndio yataamua nani mkweli, jibu litapatikana kwenye Chaguzi za Kitaifa zijazo.
 
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi

Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi

Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi

Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi

Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi

Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Binafsi sielewi hasa wanataka nini maana Kila walichozusha na kupotosha Serikali imejibu vizuri kabisa..

Sana sana ni chokochoko so wanaweza shughulikiwa.
 
Binafsi sielewi hasa wanataka nini maana Kila walichozusha na kupotosha Serikali imejibu vizuri kabisa..

Sana sana ni chokochoko so wanaweza shughulikiwa.
Yani pamoja na kelele zote za wananchi hata mama bado anajidai hajuii tatizo liko wapi kwenye hili jambo??? Wanajua sana ila kujitoa ufahamu tu tahiraa pekee ndo anaweza kubali mkataba usiokuwa na kikomoo...mkataba usioweza kuuvunja.
 
Yani pamoja na kelele zote za wananchi hata mama bado anajidai hajuii tatizo liko wapi kwenye hili jambo??? Wanajua sana ila kujitoa ufahamu tu tahiraa pekee ndo anaweza kubali mkataba usiokuwa na kikomoo...mkataba usioweza kuuvunja.
Tueleze wewe tatizo ni lipi?
 
Kumbe TICS nao mkataba wao ulikuwa usio na mwisho na bado tumewapiga chini na kuvunja mkataba ,so ishu ya muda sio hoja tena lolote linaweza kutokea mbeleni tukabaki na bandari na kuweka kampuni nyingine!.Wala hamsemi

Kumbe ajira zitangezeka hasa kutokana na usafirishaji wa mizigo nje na ndani ya nchi hapa madereva wengi watahitajika kwa kuwa mzigo utakuwa unaingia na kushushwa faster yaani dereva yupo njiani anapigiwa simu afanye haraka kuna mzigo mwingine.wala hamsemi

Kumbe DP wanajenga bandari kavu nchi jirani zote zinazochukua mzigo Tanzania kwa makubaliano ya DP na nchi husika .wala hamsemi

Kumbe DP wanamtandao wa mawakala wa usafirishaji kote duniani hii itaongeza mizigo kwa zaid ya 50% kutoka ilivyo sasa.wala hamsemi

Kumbe bandari itakuza Pato la taifa kutoa 37% ya Sasa Hadi 67 % hii itaifanya nchi iniendeshe yenyewe,wala hamsemi

Kumbe DP wanateknolojia ya ulimwengu wa Kwanza na umejaza wazungu wengi kutoka ukaya na sio waarabu tunao wakataa.wala hamsemi

Kumbe DP inaweka mtambo pale ikulu ili serkali ijue kiwango cha mizigo inayoingizwa na kusafirishwa na mapato,Wala hamsemi.

Kumbe kutakuwa na kamati ya watanzania na watu wa DP itakayokuwa inakusanyika Kila mwisho wa wiki kungalia tija.wala hamsemi.

Kumbe bandari zote za maziwa na bahari za Tanzania zitaendelezwa kwa kuungwa na mifumo na miundombinu .Wala hamsemi

Kumbe wabunge ambao ndio wawakilishi wetu wameshirikishwa kila hatua na wametoa maoni na serkali inayafanyia kazi,wala hamsemi.

Kumbe wanaopinga huu mkataba wanalipwa pesa za kuponda.wala hamsemi.

Mwenye hoja aje ajibiwe ,msikae kimya jf ni shule tuwafundishe


USSR
Nashukuru kuwa umekiri mkataba/makubaliano hayakuwa na mwisho
 
Back
Top Bottom