matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kitendo cha kutoa sadaka kimefungamanishwa na uhai wa binadamu kiasi kwamba huwezi kuishi bila kutoa sadaka. Ukizuia kutoa ili uujenge ufalme wa Mungu utatafuta pa kuipeleka. Ila lazima utatoa hata kama utaitungia jina tofauti.
Tendo la kwanza mwanadamu wa kwanza kuzaliwa (Kaini na Habiri) walilofanya ilikuwa ni kutoa sadaka.
Kama hutatoa sadaka kwa mtumishi ili kazi za Mungu zisikwame, au kanisani au kwa masikini na wahitaji, utatoa kwenye ngono, Michezo na burudani, pombe au kwa waganga.
Anza kupitia upya uone sadaka zako huwa zinaelekea wapi? Kujaza account au kibubu chako cha mbinguni au kupalilia kifo chako cha milele.
Heri kutoa kuliko kupokea.
Ni hayo tu.
Tendo la kwanza mwanadamu wa kwanza kuzaliwa (Kaini na Habiri) walilofanya ilikuwa ni kutoa sadaka.
Kama hutatoa sadaka kwa mtumishi ili kazi za Mungu zisikwame, au kanisani au kwa masikini na wahitaji, utatoa kwenye ngono, Michezo na burudani, pombe au kwa waganga.
Anza kupitia upya uone sadaka zako huwa zinaelekea wapi? Kujaza account au kibubu chako cha mbinguni au kupalilia kifo chako cha milele.
Heri kutoa kuliko kupokea.
Ni hayo tu.