Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Umeshasema dini ya waarabu Kisha unasema huko hapa kukashifi dini Sasa nikuulize uislamu ni dini ya waarabuHili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Kuropoka usichokijua na kukashifu wakristo Ni wazi huelewi kilichopo ndani .Katika viumbe wasio na kitu kichwani basi hawa wakristo wanaoliwa sadaka na kina Mwamposa,Suguye,Mzee wa upako, n.k ni viumbe waliobeba kamasi kichwani maana wanavyomtajirisha mtu kwa kuigiziwa miujiza aisee!
Kuna jamaa hapa JF Aliwahi kuandika mada inayomhusu Mwamposa walikuwa wanapigika nae kitaa leo ni nabii na mtume shenzi kabisa.
Mnaambiwa mkatoe sadaka za kujimaliza urudi mifuko imetoboka inasikitisha sana dini kuwa na waumini mbumbumbu na watu matapeli wanajiita manabii.
Unaniuliza mimi au waislamUmeshasema dini ya waarabu Kisha unasema huko hapa kukashifi dini Sasa nikuulize uislamu ni dini ya waarabu
Afu wanapotoa ushuhuda wanabadili majina
Utaskia kwa jina naitwa Frank nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa fulani nashukuru yesu kaniokoa
Zaidi ya waislam 90 wanaoswali msikitini nawaona pia kwa mwamposa wakisali na kukanyaga weseUlijuaje kuwa ni waislamu?.
Hapo sawa, Kama uliwaona hao 90 wakisali msikitini na ukawakuta wakikanyaga wese sawa.Zaidi ya waislam 90 wanaoswali msikitini nawaona pia kwa mwamposa wakisali na kukanyaga wese
Ala kakataza..hujui kuwa yeye hajui lugha zaidi ya kiarabu unataka kumchanganyia mafaili.Sheria gani inakataza ? ikiwa katika kingereza au lugha yeyote inaitwa tafsiri ya Qu'ran na hakuna ubaya kujua tafsiri kwani lengo ni kuelewa vizuri kiarabu inabaki kama msingi na ndio Qur'an yenyewe.
SwadaktaWanakariri alafu kuelewa ndo kunafuata
Jikite kwenye mada na jibu hoja nadhani itasaidia.Mleta uzi ni mdini sana kama hamujamshtukia.
Njoo kesho ukanyage mafuta huku ukila keki ya upako ukishushia na majo ya upako..KWAHIYO UNATAKA KUSEMAJE?
LENGO LAKO NI KUTAKA KUJULISHA NINI?
ACHA USHAMBA..!
SIO KILA MVAA KANZU, HIJABU, SHUNGI NI MUISLAAM... HATA WEWE WAWEZA VAA NA HAMNA ANAYEKUZUIA...
NA SI KILA ANAYEITWA JUMA, RAMADHANI NI MUISLAAM... NI MAJINA TU KAMA LILIVYO JINA LA KINJIKITILE NGWALE...
YEYOTE UNAYEMUONA KWA MWAMPOSA... UJUE NI MUUMINI WA MWAMPOSA NA DINI YAKE... WALA HAKUNA MUISLAAM PALE...
WAISLAAM UTAWAKUTA MSIKITI WANASWALI NA WANAIFUATA DINI YAO KWA MAFUNDISHO SAHIHI...
Ukiwa mjinga kiasi hiki haustaili kujibiwa ,una kiwango kikubwa cha ujinga na unapaswa kupuuzwaAla kakataza..hujui kuwa yeye hajui lugha zaidi ya kiarabu unataka kumchanganyia mafaili.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ulitaka kusema ni dini ya wagogo..hiyo dini ililetwa na waarabu ni dini ya waarabu na mungu wao.Umeshasema dini ya waarabu Kisha unasema huko hapa kukashifi dini Sasa nikuulize uislamu ni dini ya waarabu
Wewe mwenyeakili unafanya nini kwa wajinga?Ukiwa mjinga kiasi hiki haustaili kujibiwa ,una kiwango kikubwa cha ujinga na unapaswa kupuuzwaView attachment 2316181
Mbona Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea vipi na yeye alipotea ?Wewe mwenyeakili unafanya nini kwa wajinga?
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Barikiwa sana mtumishi..damu ya Yesu kristo ikubariki.Mbona Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea vipi na yeye alipotea ?
Na Manabii je waliotumwa kwa watu wakosefu kuwarekebisha katika njia iliyokuwa sawa vipi walikua nao wakosefu?
Nb:Ukiwa na akili ya kutafakari maswali niliyokuuliza hapo juu na majibu yake itakua nadhani itatosha kwa kwako kutambua umefikia daraja lipi la ujinga ..View attachment 2316201View attachment 2316200
Hahahaha [emoji1787] hiyo profile picture yako sasa ndiyo huwa inanifurahisha balaa [emoji13]Acha ujinga aisee wale Maustadhi/Maalhaji kabisa na wengine hadi kuhiji Makka wameenda.
Acha kujifanya ww ndio mwislamu haswa.