jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Leta ushahidi tofauti na hapo huo ni umbea.Hanithi mkubwa hamna waislamu labda majina na ni script hizo za wapumbavu wenzio
Injili ya Yesu hufungua watu wote mkuu waache waislam wafunguliwe.Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Akili za vilaza hivi..leta ushahidi wa hay mabiliona lasivyo mnajazwa upuuzi..watu mmejaa ubaahili na umasikini..mkiona makanisa na mashule na mahospital yanajengwa na waumini mnaaanza kulia lia eti wanalipwa na serikali...akili imebeba makamasi tupu.Muishukuru serikali kuwapatia bajet ya mabilioni la sivyo ukiristo usingekuwepo
Kwani asilimia tisini ni wachache?Nafikiri kusema tu wengi inatosha sio asilimia 90%.
Niwakuhurumia sana..tuzidi kuwaalika kuja kukombolewa na kupokea neema ya Kristo.Wacha waislamu wafunguliwe maana wapo kwenye minyororo ya chuma na nira nzito Kwa kifupi wapo utumwani
Amina ikawe hivyoWacha waislamu wamjue na kumpokea Yesu kristu wapate kuokolewa
Watu hao hawaendi "kuabudu" wanaenda kwa mganga wa kienyeji.Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Kwanini kinuke bana, katuambia tuu alichoona , huyu hana kosa sheikhUmeenda sehemu yenye Wi Fi Network huko Uganda mabando vipi au upo mpakani mtukula? Ndio maana umeleta maada chochezi ya udini kikinuka wewe uko nje
Kwani mtu ambae ni mganga wa kienyeji ni dhambi kidini? Waislam wote nijuavyo ni waganga wa kienyeji ndio mana hata matangazo ya nyota, mvuto na dawa za nguvu za kiume utawakuta shekh Yahya sijui shekh idrisaaWatu hao hawaendi "kuabudu" wanaenda kwa mganga wa kienyeji.
Kuitikia "kwa damu ya Yesu" kwao ni sawa na kuitikia "tawire" kwa mganga wa kienyeji, ni upuuzi mtupu
Kiongozi we umejaliwa saana kuwaza upuuziHili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Wapo wengi wanataja majina ya kiislam kabisa fuatilia utaonaAfu wanapotoa ushuhuda wanabadili majina
Utaskia kwa jina naitwa Frank nilikuwa nasumbuliwa na ugonjwa fulani nashukuru yesu kaniokoa
Kama wamasheheKiongozi we umejaliwa saana kuwaza upuuzi,,
Baadhi sio woteWapo wengi wanataja majina ya kiislam kabisa fuatilia utaona
Kama ni hivyo basi nyie waislam wengi hamna din maana kwa mwamposa wanajaa sanaa waislam mpaka wanagombaniana viti na wakristo😀😀😀 na sio kanisa hilo tu nimeona hata kwa nicholas suguye waislam kibao na wengi wanabatizwa na kuwa wakristo sijui kwanini siku hizi waislam wanakimbilia ukristo kwa kasi sanaKuna waumini na kuna waislam, muumin hawezi kwenda huko, hao ni wanafiki haijalishi ni rangi gani.
Hii tafiti niyamda sanaHii tafiti ya huko Kampala nini au ushasahau ulipo baada ya kusafiri na V 8 kwa masaa 12 kutoka dar mpaka Kampala...
Muislamu ulisha wahi kumuona wapi hapa tanzania?Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Ni kweli nilikuwa huko usiku wa VUKA NA CHAKOHili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.