kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Huyu mtalaka wa Ivan kiukweli ni mzee ambaye kwa hakika siyo saizi ya kuishi na Diamond. Ninampongeza Diamond kwa kuanza kuchukua hatua za kumuacha taratibu na kitendo cha kumzalisha mwanamke mwingine ni ujumbe tosha kwa Zari kuwa muda si mrefu atajinasua katika mikono ya bibi huyo na kuingia katika ndoa ya Hamisa Mabetto ambaye ni saizi yake.
Kama unapingana na Diamond kuachana na huyu Zari.
Kuna msemo unasemaga ya ngoswe mwachie ngoswe. Na mimi na mwachia ngoswe... kupepeta sana mdomo ni kuongelea relationships za watu ni ujinga.