Wanaosapoti Diamond kuendelea kuishi na Mzee badala ya kuchukua kijana wanapaswa kushangaliwa


Kuna msemo unasemaga ya ngoswe mwachie ngoswe. Na mimi na mwachia ngoswe... kupepeta sana mdomo ni kuongelea relationships za watu ni ujinga.
 
Kuna msemo unasemaga ya ngoswe mwachie ngoswe. Na mimi na mwachia ngoswe... kupepeta sana mdomo ni kuongelea relationships za watu ni ujinga.

bila shaka wew utakuwa mjinga! unawezaje kuishi bila kuongelea mambo ya wengine. unapomzungumzia Magufuli, Kikwete na wengine hapo unaongelea mambo ya wengine. labda ungesema katakana muktadha upi
 
Acha unaaaa,
Mbona wanaume tunaoa vibinti vidogo ila siyo nongwa!?

Mfano, Mzee miaka 50, anaoa Binti let's 20yrs old.
Sasa, kwa nini mwanamke akiolewa na kijana mdogo inakuwa nongwa!?
 
bila shaka wew utakuwa mjinga! unawezaje kuishi bila kuongelea mambo ya wengine. unapomzungumzia Magufuli, Kikwete na wengine hapo unaongelea mambo ya wengine. labda ungesema katakana muktadha upi

Tofautisha kuongelea mambo ya msingi na mambo ya kishambenga kama unavyomkosoa huyo bibie!
 
Unapomuona mwanamke anakubali kuzalishwa huku akijua kwamba anayemzalisha ana mtu mwingine tena kazaa naye watoto unapanda ujiulize sana. Mwanamke anayejua nini maana ya familia hawezi kuzalishwa na mtu ambaye tayari ana familia nyingine. Na kama ni kweli Diamond kamzalisha Hamisa basi Hamisa ataendelea kuzaa watoto wa mababa tofauti kika mara maana anaonekana anapenda sana kutegesha mimba. Akipata tu mwanaume yeye anachojua ni mimba. Sasa hivi ni mtoto wa pili na anaelekee kwenye uzee kama mnavyomuita Zari ni mzee. Umri haurudi nyuma a majukumu ndio yanaongezeka.
 
Huyo kikojozi kazalishwa a diamond ulikuwapo ?
Yeye alozalishwa hajitambui
utazalishwaje tu hovyo hovyo?
Diamond amemkana huyu naye hana uhakika mi nani aliye mjaza. Ndo matatizo ya kuachia chupi hovyo.
Zari ni kijana mzuri high brain
Diamond anajua mnamchafua ili aachane na zari ili vipapa kojo wajipitishe kuvua chupi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamisa sawa wewe ni kijana na Zari ni mzee.... sasa tafuta baba wa mtoto wako au mtaje hadharani
 

 
Yaani kuna mijitu humu haifahi hata kuwepo kwenye jukwaa la wasomi Kama hili, yaani huu upumbavu na mawazo yako sijui umefikili kwa kutumia nini unatuletea hapa. Nyambavu kabisa wapi wamesema mkubwa hawezi ishi na mdogo? Hebu pelekeni ujinga huu facebook kwa la saba wenzenu sio hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfano ungepata nafasi ya kumto.mba zari ungeikataa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…