Tatizo lako una "circular reasoning" you start from where u ended.Kwa hiyo ni bora angeitunza bank tu hilo laki 1?
Achana nao hao watu ni wanafiki tuWanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kabisa mzee wa short and clearZa kuambiwa changanya na za kwako...
Mkuu si kweli thamani ya nyumba inapanda kila siku Bali ile ardhi iliyobeba nyumba ndo hupanda kila siku.! Kadiri muda unavyokwenda nyumba huchoka na design yake hupitwa na wakatiWanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Kwa milioni 30 za kujenga nyumba, bora uwe na viwanja 10.Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Mwenye 30mil cash hawezi kukuuliza ama ajenge au anunue viwanja.Kwa milioni 30 za kujenga nyumba, bora uwe na viwanja 10.
Chukulia mkopo viwili, halafu anza kujenga.
Kuwa halisi haimaanishi kufuata mkumbo.Mwenye 30mil cash hawezi kukuuliza ama ajenge au anunue viwanja.
Hiyo BORA, zingatia wengi siye, milioni 30 inakuja kuwa mjumuiko wa haste haste ya ujenzi wa mpaka miaka 10, kumbuka wengi tunachukua mkopo wa milioni 10 kwa kulipa kwa miaka 4.
Tuwe halisi kidogo jamani.
Naona bado hujaielewa logic hapo.Kuwa halisi haimaanishi kufuata mkumbo.
Katika kipindi hicho cha miaka kumi, badala ya kujenga, nunua viwanja.
Nyumba kama Jengo siyo asset.
Ardhi ni asset.
Nyumba ya milioni 30 utapangisha kwa laki mbili kwa mwezi ambayo ni milioni mbili kwa mwaka (maintanance laki nne ambayo ni ndogo najua).
Itachukua miaka 15 ku break even.
Baada ya hapo utakuwa unachukua mshahara wa laki mbili kwa mwezi.
Buy land, then wait.
Sehemu yeyote ile.Naona bado hujaielewa logic hapo.
Hivyo viwanja unanunua wapi na kwa sh ngapi?
Kwa milioni 30 za kujenga nyumba, bora uwe na viwanja 10.
Chukulia mkopo viwili, halafu anza kujenga.
Wewe hujui kitu kuhusu uwekezaji kwenye nyumba.Kuwa halisi haimaanishi kufuata mkumbo.
Katika kipindi hicho cha miaka kumi, badala ya kujenga, nunua viwanja.
Nyumba kama Jengo siyo asset.
Ardhi ni asset.
Nyumba ya milioni 30 utapangisha kwa laki mbili kwa mwezi ambayo ni milioni mbili kwa mwaka (maintanance laki nne ambayo ni ndogo najua).
Itachukua miaka 15 ku break even.
Baada ya hapo utakuwa unachukua mshahara wa laki mbili kwa mwezi.
Buy land, then wait.
Laki Tano, nyumba ya gharama gani? Ipo maeneo yapi?Wewe hujui kitu kuhusu uwekezaji kwenye nyumba.
Nimeanza kupangisha nyumba yangu mwaka 2014 kodi laki 5.
Hapa katikati nikapunguza hadi laki 4.5 kwa ushawishi tu wa madalali kwamba vyuma vimekaza, kwahiyo wapangaji hawafiki bei.
Kwakuwa zama za vyuma kukaza zimepita, mzigo unarudi palepale kwa 500k!
Hakuna maintenance ya aina hiyo uliyosema kwenye nyumba kwa mwaka.
Maintenance ya nyumba sio kama service ya gari!