ID Fake
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 503
- 776
Ndiyo maana hapo juu nilitangulia kusema kuwa wewe hujui kitu kuhusu mambo ya kuwekeza kwenye nyumba!Laki Tano, nyumba ya gharama gani? Ipo maeneo yapi?
Tuanze hapo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana hapo juu nilitangulia kusema kuwa wewe hujui kitu kuhusu mambo ya kuwekeza kwenye nyumba!Laki Tano, nyumba ya gharama gani? Ipo maeneo yapi?
Tuanze hapo kwanza
Kujenga Ni Woga Wa Maisha
Duniani Tunapita Tu
Mbinguni Tumeandaliwa Makao Ya Kudumu
Laki 1 ya mwaka 70 sio laki 1 ya mwaka 2022. Angalia ktu inaitwa "money value" au "purchasing power" ya hela
Nyumba ya gharama gani na ipo eneo gani?Ndiyo maana hapo juu nilitangulia kusema kuwa wewe hujui kitu kuhusu mambo ya kuwekeza kwenye nyumba!
Shituka uko kwenye usingizi wa ponoNyumba ya gharama gani na ipo eneo gani?
Kwa laki Tano .
Kama wewe ni landlord kwa nini unapotosha wenzako?Hehe .... I'm a landlord.
Kukuondoa tu kwenye mawazo unayofikiria .
Na hawezi jibu.
Mimi naongea facts, siongei blah blah.Kama wewe ni landlord kwa nini unapotosha wenzako?
Nenda ukanunue nyumba ndiyo utaelewa kama zinaongezeka dhamani au laMimi naongea facts, siongei blah blah.
Nimerithi nyumba na ardhi. Nyumba ni headache na nimekatazwa na ukoo kuiuza.
Nyumba inaleta heshima kwa utamaduni wetu.
Kama heshima kwa jamii ingeweza kuwekwa thamani yake kifedha labda.
Ila huwezi.
Viwanja vina thamani inayokua. Hata by looking at the population increase. Mapori mengi ya miaka 15 iliyopita Sasa ni miji.
Nyumba haiongezeki thamani. Huo ni ukweli wa kimahesabu siyo hadithi njoo .
Huwezi kupigiana hesabu za nyumba ukanipa faida above interest rate ya Benki kuu.
Ukitaka tupigiane mahesabu hapa.
Umeshawahi kununua viwanja popote? Waulize walionunua Chato kwanza kabla hujajibu hapa, au kama ni mkazi wa Dar, kaongee na walionunua Kigamboni kisha ndo ujibu!Sehemu yeyote ile.
Hivi kipi cha ajabu hapo?
Ardhi inapanda thamani, nyumba inashuka thamani.
Tumia uwiano mzuri ili ujenge nyumba kwa kutumia ardhi badala ya kutumia ardhi kujenga nyumba.
You have a point. Kuna nyumba zile za zamani juzi imenunuliwa 250m. Hio nyumba yaani jengo halina hata thamani ya 15m kilichonunuliwa pale ni eneo.Mimi naongea facts, siongei blah blah.
Nimerithi nyumba na ardhi. Nyumba ni headache na nimekatazwa na ukoo kuiuza.
Nyumba inaleta heshima kwa utamaduni wetu.
Kama heshima kwa jamii ingeweza kuwekwa thamani yake kifedha labda.
Ila huwezi.
Viwanja vina thamani inayokua. Hata by looking at the population increase. Mapori mengi ya miaka 15 iliyopita Sasa ni miji.
Nyumba haiongezeki thamani. Huo ni ukweli wa kimahesabu siyo hadithi njoo .
Huwezi kupigiana hesabu za nyumba ukanipa faida above interest rate ya Benki kuu.
Ukitaka tupigiane mahesabu hapa.
Kuna nyumba kuu kuu juzi jzui imenunuliwa kwa 250m mitaa ya uswahilini. Lile jengo halina hata thamani ya 15m hapa ni wazi eneo ndio limenunuliwa na jamaa kaipiga chini hio nyumba kainua ghorofa.Nenda ukanunue nyumba ndiyo utaelewa kama zinaongezeka dhamani au la
Walionunua Kigamboni wana hasara gani au nini kimewapata? Mimi nilinunua hapa nilipo 800sqm 1.5m sasa hivi kuna jirani yangu kakata eneo lake kubwa anauza 400sqm kwa 10m na kabakisha viwili tu kimoja nimetaka kuuziwa 7m kagoma.Umeshawahi kununua viwanja popote? Waulize walionunua Chato kwanza kabla hujajibu hapa, au kama ni mkazi wa Dar, kaongee na walionunua Kigamboni kisha ndo ujibu!
Unamanisha niniKuna nyumba kuu kuu juzi jzui imenunuliwa kwa 250m mitaa ya uswahilini. Lile jengo halina hata thamani ya 15m hapa ni wazi eneo ndio limenunuliwa na jamaa kaipiga chini hio nyumba kainua ghorofa.
Huyo jamaa niliamua kumuacha tu baada ya kumuona anaona maajabu kusikia kuna nyumba kodi laki 5.Nenda ukanunue nyumba ndiyo utaelewa kama zinaongezeka dhamani au la
Wanaosema kujenga ni kuzika pesa utawakuta wanatoa mifano ya kina Bakhresa, Mo Dewji hivi kwa akili yako kuna tajiri hana nyumba?
Hivi unasemaje kujenga ni kuzika pesa wakati bei ya nyumba inapanda kila siku? Hivi mtu aliyejenga nyumba Kariakoo miaka ya 1970s kwa shs laki 1 alafu amekuja kuiuza hiyo nyumba mwaka 2021 kwa billioni 5 utamwambiaje kwamba alizika pesa?
Buy land, then wait.
Huko Kigamboni, nilinunua eneo kwa mil. 1 na laki 3 mwaka 2011... nikaliuza mil. 12 mwaka 2015, yaani miaka mi 4 tu baadae.Walionunua Kigamboni wana hasara gani au nini kimewapata? Mimi nilinunua hapa nilipo 800sqm 1.5m sasa hivi kuna jirani yangu kakata eneo lake kubwa anauza 400sqm kwa 10m na kabakisha viwili tu kimoja nimetaka kuuziwa 7m kagoma.
Kibada kule ambako Leo wanauza viwanja 20-30m watu walinunua 1.5-3m tu
Jiulize wewe upo wapi...Laki Tano, nyumba ya gharama gani? Ipo maeneo yapi?
Tuanze hapo kwanza
Hana maana kuwa hakuna nyumba ya bei hio. Anataka ajue hio nyumba ina thamani gani ili apime hio return on investment.Jiulize wewe upo wapi...
Kama ni Mpitimbi huko ndani ndani una haki ya kushangaa!
Hakuna kitu Cha hovyo kama kuweka hela Benki.Mambo mengine yasikie tu nyuma ya keyboard. Nilinunua viwanja sehemu fulani. Sina mpango wa kujenga kwa sababu ni nje ya mji na majirani hawajajenga bado. Kila mwaka nalipia kodi. Ni upotevu wa pesa zangu. Kama una pesa weka benki ama fanya biashara. mambo ya kununua viwanja eti vitapanda bei ni biashara kichaa.