Mwambie basi apige speech moja matata akate mzizi wa fitnaAmeweka hoja zake kwamba amesoma hapo UDSM miaka mitatu na lugha iliyokuwa ikitumika ni kiingereza sasa utasemaje hajui hiyo lugha?na pia ameishi London mwaka mmoja na lugha inayotumika kule kwa mawasiliano ni kiingereza sasa utasemaje hajui kiingereza?
.“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Sijui unakusudia nini unaposema walisoma kama somo tu na wakati lengo la hilo somo ni wao kuijua hiyo lugha na wapo wenye kuijua hiyo lugha kupitia njia hiyo hiyo japo kiingereza sio lugha ya kufundishia huko kwao,watu kama Magufuli wenye kuongea kiingereza kibovu wapo wengi pamoja na kiingereza kuwa ndio lugha ya kufundishia.Hujanielewa..... Wao ni kama tu kiswahili nchini Uganda, kinafundishwa kama somo tu ambalo ni optional sio compulsory lakini TZ kiswahili ni lugha ya kufundishia masomo yote primary school (ambapo hushape uelewa wa mwanafunzi)
Kwahiyo probability ya mganda kujua kiswahili ni ndogo ila kwa Mtanzania ni kubwa. Hivyo same case to Putin ni ngumu sana kuwa competent kwenye english ilihali aliisoma kma somo tu na sio lugha ya kufundishia.
So bado JPM is in for it......hawezi jitetea kwa mgongo wa Putin wakati ni context tofauti. Wenzetu mpaka kemikali na software sipo developed kww lugha yao sie mpaka manual huko maabara ni za kiingereza kitupu so usipofahamu lazima tukuzodoe tu.
Tatizo la kushindwa kuongea kiingereza vizuri ni tatizo la watu wengi Tz ila ni tofauti na kutojua kabisa kiingereza.Mwambie basi apige speech moja matata akate mzizi wa fitna
Mkuu hata wewe naamini uliisoma French kma somo whether sekondari au chuo. Unataka uniambie unaweza kuwa competent kwa kusoma tu fundamentals ya somo fulani tena kwa masaa 36 tu ya muhula mzima?Sijui unakusudia nini unaposema walisoma kama somo tu na wakati lengo la hilo somo ni wao kuijua hiyo lugha na wapo wenye kuijua hiyo lugha kupitia njia hiyo hiyo japo kiingereza sio lugha ya kufundishia huko kwao,watu kama Magufuli wenye kuongea kiingereza kibovu wapo wengi pamoja na kiingereza kuwa ndio lugha ya kufundishia.
Ni vzuri umekiri hili.... Hta JPM naye yupo kundi hilo hilo sababu hatuna tabia ya ku-practice kuongea muda wote, so imebakia madarasani tu.Tatizo la kushindwa kuongea kiingereza vizuri ni tatizo la watu wengi Tz ila ni tofauti na kutojua kabisa kiingereza.
Kabisaaa maana saiv hta mtoto wa English medium anamaliza shle na kingereza anakijua lakin matokeo yanakuja amefeli......Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Kabisaaa maana saiv hta mtoto wa English medium anamaliza shle na kingereza anakijua lakin matokeo yanakuja amefeliRaisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Nadhani sasa umenielewa,tatizo sisi hatu practice kuongea hiyo lugha na ndio sababu kubwa ya wengi kutomudu vizuri hiyo lugha akiwemo Magufuli,sasa si sawa watu kusema kwamba hajui kabisa hiyo lugha.Ni vzuri umekiri hili.... Hta JPM naye yupo kundi hilo hilo sababu hatuna tabia ya ku-practice kuongea muda wote, so imebakia madarasani tu.
Acha panic, huu mchezo hautaki hasira!Hapa Jamii inakosea hata kama hamumpendi rais wa nchi, kwani kujua kingereza au kutokujua ni dhambi au kosa la jinai?? Tufanye ninyi mnajua Rais wetu yeye hajui, furahini sasa..
Ila mnasahau mzee lugha ya Kiingereza ni ligha yake ya kufundishiwa toka akiwa sekondari. Biden hajafundishiwa kwa Kiswahili au Kifaransa.Ni sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili
Ni utoto!
Jamaa is so petty kwa kweli!..aliyemshauri Raisi kuzungumzia hayo ni nani?
..Jpm amekuwa madarakani huu ni mwaka wa 6, hivi anahitaji kujieleza na kujitetea kwamba anaimudu lugha ya Kiingereza?
Inakisea❌Sio inakisea,sema hujui
even your Swahili here is broken too.mtu haishi kwa mkate peke yake
Kwani wapi ni9mesema mimi najua kiswahili? Mimi kiswahili sikijui, nakiri.even your Swahili here is broken too.
There is a vast difference in meaning between these two swahili words "haishi" and "hataishi".
The more you criticise other people, the more you expose yourself and become more vulnerable to other's criticism.