Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

09e7201d8666b72022a9fa351e33d1e8.jpg
Ivi ni ajabu dogo janja kumuoa Irene uwoya??
Kwa mimi sioni ajabu hata Kidogo kwani mtu mpaka anaamua kuolewa na huyo mwanaume ujue karidhika nae. Kama asingeridhika nae asingesubutu kuolewa nae.
Kuna wanawake wanatamani hata angetokea mwanaume hata chini ya dogo janja wangekubali kuolewa nawe.
Tatizo hawana bahati.
Umri ni number tu. Na utu uzima ni kutokama na mambo yako unayofanya.
Unaweza ukawa na 50years lakini ukawa unafanya mambo Kama mtoto wa 18 years.
Kama anamuhudumia mke wake ipasavyo hamna tatizo.
Uzuri wa dini ya kiislaam inaruhusu maana ni suhna. (usiniulize saana kuhusu dini[emoji23] [emoji23] ) kwa hiyo kama wamependana kwa dhati tu.
Sisi twawatakia kila la heri
Aseeee
 
Back
Top Bottom