Wanaoshombokea maandamano Lissu, Lema, Mbowe wanamakazi nje ya nchi; wanapakwenda; wewe je

Wanaoshombokea maandamano Lissu, Lema, Mbowe wanamakazi nje ya nchi; wanapakwenda; wewe je

Mbowe kakaa mahabusu kwa kesi ya kubambikiwa miezi mingi sana, Lema pia kakaa ndani pia.

Lissu kanusurika kifo na sasa ni mlemavu.

Mnataka wazilete familia zao front line ndio uamini ni Wazalendo. Wao kurisk maisha yao kwa ajili ya wengi haitoshi kwako.

Huyo Mbowe kapoteza vingi sana tangu aanze harakati za upinzani.

Inawezekana msiwaunge mkono kwa kauli kwamba wanapigia maslahi yao. Lakini tujiulize wanavyoandamana kupinga mauaji, utekaji, rushwa, ufisadi na kodi kandamizi. Je, hivyo vitu vikifanyiwa kazi atakayefaidika ni Mbowe peke yake?

SOTE TUNAZALIWA TUKIWA WAJINGA LAKINI BAADHI YETU HUFANYA KILA LINALOWEZEKANA WAHAKIKISHE WANABAKI KWENYE UJINGA.

WEWE NI MJINGA.
 
Mbowe kakaa mahabusu kwa kesi ya kubambikiwa miezi mingi sana, Lema pia kakaa ndani pia.

Lissu kanusurika kifo na sasa ni mlemavu.

Mnataka wazilete familia zao front line ndio uamini ni Wazalendo. Wao kurisk maisha yao kwa ajili ya wengi haitoshi kwako.

Huyo Mbowe kapoteza vingi sana tangu aanze harakati za upinzani.

Inawezekana msiwaunge mkono kwa kauli kwamba wanapigia maslahi yao. Lakini tujiulize wanavyoandamana kupinga mauaji, utekaji, rushwa, ufisadi na kodi kandamizi. Je, hivyo vitu vikifanyiwa kazi atakayefaidika ni Mbowe peke yake?

SOTE TUNAZALIWA TUKIWA WAJINGA LAKINI BAADHI YETU HUFANYA KILA LINALOWEZEKANA WAHAKIKISHE WANABAKI KWENYE UJINGA.

WEWE NI MJINGA.
Unatoa maelezo ya kijinga- hoja yangu familia zao ziko hapa?
 
Hii ndo mmeona point ya kuwanyong'onyesha watanzania, ko mnataka kusema mtawapiga mabomu na watakaobaki mtawasweka ndani siyo?
 
Unatoa maelezo ya kijinga- hoja yangu familia zao ziko hapa?
Wewe ni mjinga unamaanisha ukombozi wa Tanzania unategemea wanaharakati wenye makazi na familia ulaya tu, wewe ulioko hapa nyumbani na ukoo wako utakaa kulialia tu na kusubir kuonewa huruma na CCM?

Kama ndivyo basi umechagia kua mtumwa na chawa milele wewe na vizazi vyako.
 
Kwahiyo kama wana makazi nje sisi ndio tukubali tuwe na makazi kwenye karakana zao? Hata vitani hamtarudi wote na General hapigani anaelekeza tu na mipango alafu wafuasi ndio wanachapa lapa. ,
 
Bora wao Wana makazi nje. Vipi akina siye tusiokuwa na makazi huko nje hata hapa pia? Hatuna mbele wala nyuma.

Basi akina siye ndiyo inatupasa kuandamana mpk tufie barabarani.
 
Bora wao Wana makazi nje. Vipi akina siye tusiokuwa na makazi huko nje hata hapa pia? Hatuna mbele wala nyuma.

Basi akina siye ndiyo inatupasa kuandamana mpk tufie barabarani.
Watanzania uwezo wao ni mdogo sana
Lissu amekua kilema anaishi kwa kunywa dawa nyingi kila siku lakin mtu anaona haitoshi hata akipeleka familia yake usishangae akalaumiwa kwanini ameacha ukoo wake nyuma

Hasara ambayo mbowe ameipata kwa sababu ya kuwa mpinzani ni kubwa ila watu hawaioni kuna mali zake nyingi zimeharibiwa lakin mtu anaona haitoshi
 
Back
Top Bottom