Wapumbavu watatu nchi hii ni kama ifuatavyo;πΎπ ππ ππππππππ
Aina ya binadamu wanaopatikana Tanzania, haipatikani mahala pengine popote duniani.Watanzania uwezo wao ni mdogo sana
Lissu amekua kilema anaishi kwa kunywa dawa nyingi kila siku lakin mtu anaona haitoshi hata akipeleka familia yake usishangae akalaumiwa kwanini ameacha ukoo wake nyuma
Hasara ambayo mbowe ameipata kwa sababu ya kuwa mpinzani ni kubwa ila watu hawaioni kuna mali zake nyingi zimeharibiwa lakin mtu anaona haitoshi
Naunga mkono hoja!πΎπ ππ ππππππππ
Mlivyokuwa waoga, labda msindikizwe na polisi.Tutapishana njia mkieda sisi tunaingia kwenye miji yenu/nyumba zenu/vyumba vyenu
Na wewe zinakutosha?NDIYO
Narudia tena, nyie bila mbeleko ya vyombo vya dola ni wachumba tu.Tuogope nini wakati hamtakuwepo kwenye miji yenu/nyumba zenu/vyumba vyenu mtakuwa barabarani mnakula moshi wa mabomu
Mimi ntaandamana kwa sababu zanngu binafsi sio za lema au mbowe au lissuJK aliwahi kutuasa- akili za kuambiwa changanya na za kwako