Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

Mkuu kama unajua vyema em tule A,BC zake hapa jukwaani.
Hapana simjui vizur mkuu mm naamin zaid katika Mungu, ila huyo marasta nilisikia stori zake kutoka kwenye simulizi ya jamaa mmoja ambae alipata mali kwa njia za kishirikina badae akakosea masharti mali zikaanza kuteketea na last target ilikua ni yeye auliwe na hao majini waliompa mali akakosea masharti yao, anasema waganga wote walimkataa na wakashindwa kumsaidia ila mganga wa mwsho ndo akamuelekeza jamaa aelekee kigoma akamtafute huyo marasta ndo huko aliienda kusaidiwa

Yote ya yote ushirikina ni dhambi na inaangamiza
 
Hapana, hapo kuna jogoo wawili (kutokana na mazungumzo ya wale watu) huyu wa mganga alikuwa punje 3 but yule wa mteja alikuwa akiendelea kula.

Hapo ndipo sikupaelewa why jogoo wawili?.
Mteja boya wa mganga ilikuwa sample yeye atakuwa tajiri kwa muda mrefu kulingana na jogoo wake akila idadi ya punje za kutosha, undezi wake tu ila kshatusua huyo.
 
Mi jogoo alikula punje zaid ya 20 mganga akaniambia turudie Kuna kitu kasahau nikaachana na utajiri wa mahindi sahiv natafuta utajiri wa kupunguza ndugu kama Kuna mganga mzuri naomben msaada
Yupo mmoja hatari na nusu. Ukubali kuja mwanza hataki kutibia kwenye simu.

nakuunga nae kwa elfu 5 tu (hii ni yangu ya bando)
 
Back
Top Bottom