BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Msaada Connection ya mtaalamu.Unanikumbusha machungu Ok Mi jogoo wangu alikua punje 10 Na now ni miaka 6 nimebakiza Mi 4 Tukutane Kidimbwi Tukaenjoy Uhai wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada Connection ya mtaalamu.Unanikumbusha machungu Ok Mi jogoo wangu alikua punje 10 Na now ni miaka 6 nimebakiza Mi 4 Tukutane Kidimbwi Tukaenjoy Uhai wangu
Uwezi weza endelea kua normal inabidi Uwe mwanaume Kwa jinsi unavyoshinda Humu Jf we ni mvulana hautaweza No connection no MoneyMsaada Connection ya mtaalamu.
Kama hutojali unaweza kunidadavulia hiyo comment yako maana sijakupata kabisaUwezi weza endelea kua normal inabidi Uwe mwanaume Kwa jinsi unavyoshinda Humu Jf we ni mvulana hautaweza No connection no Money
Au Dr kakuambia una ugonjwa sugu umebakiza muda mfupi.Huo utajiri ni mzuri endapo unataka kulipa kisasi kwa kundi au mtu fulani....
Inawezekana KuteguaHaijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
Huyo nasikia anabalaaa kubwa kakaHuyo juma marasta ni mganga maarufu sana huko kigoma naskia kawategulia watu mitego mingi sana
Acha kuota Tula..mi ndo bingwa wakoNitajie hizo catalyst nitaacha kukufunga sana kwenye drafti
Labda bingwa wa taarabAcha kuota Tula..mi ndo bingwa wako
Ngoja nifunge safari kwenda west africa na ndoto yangu n moja tuu niwe wazir wa umeme ili nipunguze tatizo sijui jogoo 👩💻atakula punje ngapHaya mambo yanafanyika sana Congo na West Africa hata Malawi na Msumbiji. Hapa Tanzania watu wanay-afanye kwa siri.
West Africa unaingia kwenye secret society na unaweka nadhiri. Chochote unachotaka unafanyiwa. Si biashara tu hata vyeo kazini.
Inabidi utoe kafara kila mwaka na kila unapofanikiwa jambo lako. Unaweza kukumkuta bwana mdogo ametoka chuoni juzi baada ya mwaka ni boss mkubwa kabisa.
Secret Societies zipo nyingi na mojawapo ni Freemasonry. Hizi za West Africa nyingi ndiyo zilizo waongoza Wafalme katika utawala.Ngoja nifunge safari kwenda west africa na ndoto yangu n moja tuu niwe wazir wa umeme ili nipunguze tatizo sijui jogoo 👩💻atakula punje ngap
AiseeeeUnavyo jisikia jogoo wako akila punje tatu ndio jinsi wadada hujisikia ukipiga tako tatu
Imani yako iko sahihi. Nitakuja na Uzi siku Moja hapaSecret Societies zipo nyingi na mojawapo ni Freemasonry. Hizi za West Africa nyingi ndiyo zilizo waongoza Wafalme katika utawala.
Hata Wakoloni kutawala bara la Afrika haikua rahisi. Wafalme walielekezwa mbinu za kupambana kutoka kwa mizimu.
Ninaamini Wazungu walitumia uchawi pia kuweza kututawala.
Hahaaaa, Mungu anakuona mkuu, daah!!Unavyo jisikia jogoo wako akila punje tatu ndio jinsi wadada hujisikia ukipiga tako tatu
Mkuu kama unajua vyema em tule A,BC zake hapa jukwaani.Huyo juma marasta ni mganga maarufu sana huko kigoma naskia kawategulia watu mitego mingi sana
Yeaaah hata kwetu upo huu pia, jogoo n m1 tyuuh wa mganga.Huo utajiri wa punje waungwana bado upo,hasa hasa pia maeneo ya Sumbawanga,ila kwa ukanda huo wa Sumbawanga ni jogoo mmoja tu tena wa mganga ndiye uhusika katika kufunga mkataba wenu wa utajiri wa muda,na mara zote kadri adonoavyo punje chache zaidi ndivyo mhusika utakuwa na utajiri mkubwa mno kwa kipindi hicho kifupi zaidi kabla ya umauti kukufika.
Na huu ndio utajiri usio na lawama hata kwa ndugu sambamba na utajiri wa kuharibu uzazi wako ungali huna hata mtoto wa kusingiziwa,na utajiri wa donda ndugu/lisilopona,kwa kuwa utakuwa umeji~sucrifice mwenyewe kuliko utajiri wa kula wanao na nduguzo kila wakati