Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
Mpemba kumbe kuna watu wanaweza wakategua kabisa 😂😂😂ama kweli bado sijaona mengiHaijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
Ndio ila Ni kigoma miaka hiyo..sijui saivMpemba kumbe kuna watu wanaweza wakategua kabisa 😂😂😂ama kweli bado sijaona mengi
Aiseee mwamba hebu fukua kidogo sheikh ...Usihisi..we ndo umekosea ...jamaa yuko sahihi..ingawa story yake eti wakawa wanabishana nyuma yake sio kweli...hakuna mganga na mteja eti wakaongeleaa Mambo yao Tena issue ngumu Kama ya utajiri mbele za watu..Kwanza mara nyingi eneo la kuku kula punje Ni mbali na kilinge cha mganga
Sure kaka...hizo catalyst ndiyo anazo jongoo. akishameza hizo punje za mahindi ndipo anarelease hizo catalyst za utajiri kwa kipindi maalum. Baada ya hapo unakufa, technically anakuchukua ukamtumikie kutajirisha wahanga wengine.
Hakuna utajiri mzuri kama unaotokana na kufanya kazi kwa bidii. Hwi na pressure, huzuni wala wasiwasi
hahàa in vinnie baite's voiceAkili mtu wangu
Mi najua kidogo KUTOKANA na kuwa na rafiki aliewahi kufanya hivoAiseee mwamba hebu fukua kidogo sheikh ...
Mkuu tushushie nondo kuhusu hili.Mi najua kidogo KUTOKANA na kuwa na rafiki aliewahi kufanya hivo
Dah! Kwaiyo huu uchawi Bado Kuna mafundi wanautegua[emoji848]Haijawahi kutokea kula ata punje 10...wenye bahati 8-5...mganga Ni dalali ndio maana hukuti ampe ndugu yake utajiri wa hivo yeye anategemea ufanikiwe umpe fadhila...na Yule jogoo Ni jini ndio unaeingia nae mkataba...na ndo Mana akishakula punje anapotea ..akishapotea jua anakua mwilini mwa muhusika Sasa kumtimizia mahitaji yake ya utajiri..na ikifika siku huyohuyo ndo atamuondoa...that's why Kuna wahuni miaka ya nyuma walikua wanaenda kutegua kigoma hiyo ya deadline ya kufa...
Mi najua kidogo KUTOKANA na kuwa na rafiki aliewahi kufanya hivo
Yeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanateguaDah! Kwaiyo huu uchawi Bado Kuna mafundi wanautegua[emoji848]
Aisee Hii duniani Ina mengi Sana mkuu, [emoji1787] kumbe ata kwenye uchawi watu wanafanyiwa mazingaombweYeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanategua
duuh hatari mkuu kuna watu wanaroho ngumu yani anaona kabisa vitu vya ajabu aah mimi siwezi dooh sasa baada ya apo anabaki na huo utajiri au ndo anarudia maisha ya kawaida ya shida zaidi.Yeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanategua
Kwa nini waganga wanaacha loophole, wana maslahi gani na hilo.....au tuseme wenye maslahi kwenye agano la namna hiyo ni nani na nani.....Yeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanategua
ushajibiwa juu mkuu.... imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
Wazungu ndio wanaoongoza kwa utajiri wa kishetani tafuta club 27 utaelewa namna gan miamba inapewa hela na umaarufu halafu inakufa below 27yrsWatanzania tunaamin sana upumbavu...
Cha ajabu hatuna matajiri wetu wachawi kule Forbes [emoji1][emoji1]
Inawezekana kwa kutokujua..haikua inawaletea faida hiyo zaidi ya hasara kwakua wateja hawafiKwa nini waganga wanaacha loophole, wana maslahi gani na hilo.....au tuseme wenye maslahi kwenye agano la namna hiyo ni nani na nani.....
Anabaki nao ingawa zile nguvu za kuuuendeleza kwa speed anakua Hana...hivo akiwa mzembe anapoteza zote kikawaidaduuh hatari mkuu kuna watu wanaroho ngumu yani anaona kabisa vitu vya ajabu aah mimi siwezi dooh sasa baada ya apo anabaki na huo utajiri au ndo anarudia maisha ya kawaida ya shida zaidi.
OK, kwa hiyo wanajikuta wamepata hasara kwenye mambo yao ya giza.........anyway, Mungu ni zaidi ya nguvu za giza, mapepo, mizimu, waganga, walozi, wachawi, waabudu shetani aka. freemason na matakataka mengine kwenye ulimwengu wa giza.Inawezekana kwa kutokujua..haikua inawaletea faida hiyo zaidi ya hasara kwakua wateja hawafi