Wanaotajwa kumrithi Chongolo Ukatibu Mkuu CCM

Wanaotajwa kumrithi Chongolo Ukatibu Mkuu CCM

Mheshimiwa Dotto James Ni mtu mnyenyekevu na mwenye uzoefu katika uongozi. Hakika tunajivunia uadilifu wake.
 
William vangimembe lukuvi anafaaq sana ukatibu mkuu wa CCM,
Kwanza katulia,pili umri umesogea kidogo,sg anatakiwa asiwe mapepe kama Fulani,naona lukuvi anafaaq sana
Kama mwenyekiti wa CCM taifa ataiona hii comment,itakua vizuri zaidi akikubaliana na wazo lqngu.
Halafu lukuvi anakijua chama kaanzia zamani tofauti na wengine wengi wa Sasa hivi Sasa hivi.
 
Wamo Mabalozi, Wastaafu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Vijana Chipukizi.

Kufuatia Katibu Mkuu Daniel Chongolo kuachia ngazi, wimbi la kupata Mrithi limezidi kuongezeka Mtaani huko Dar es Salaam.

Makada wanaotajwa kwa ukaribu kurithi mikoba hiyo ni pamoja na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Misri, Balozi Emmanuel Nchimbi; Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi, Alhaji Abdalah Bulembo; Mbunge wa Isimani, William Lukuvi na Mwenezi Taifa, Paul Makonda

Aidha, Mawaziri wanaotajwa kwa kuvaa Mikoba hiyo ni Waziri wa Habari, Nape Nnauye; Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile na Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.

Pia, yumo Mkuu wa Mkoa wa Geita, Juma Homela-Mbeya; Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makala na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.

Taarifa zinaonesha kwamba Katibu Mkuu mpya anatarajiwa awe ni mbombezi kwenye Mipango na Mwenye haiba lakini mwenye umri wa Ujana ili kuleta mvuto wa kundi kubwa la Vijana wa Nchi hii ambao wanatajwa kufikia 75% ya Watanzania.

Kadhalika Katibu huyo anatarajiwa awe Mtiifu asiye na mashaka kwa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hasaan ambaye kama ilivyo desturi ya CCM anatazamiwa kuwa Mgombea pekee kwenye uchaguzi ujao wa 2025 ndani ya CCM.

Kwenye barua ya Kujiuzulu Katibu Mkuu, Chongolo amehitimisha kwa kutoa tahadhari ya kumsihi Rais Samia awe makini dhidi ya watu wenye hila dhidi yake Rais, Chama na Taifa na akahitimisha kuendelea kuwa mtiifu kwa Chama siku zote. Kauli hii imeibua minong'ono na imezidi kutoa mwanga pengine ndani ya Chama hicho wako Makada ambao wangekuwa hawana nia njema na Rais na Chama chao kwa mwaka 2025.

Soma Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu
DJ alikuwa mshirika wa shetani ktk uporaji wa hazina yetu!
 
Wamo Mabalozi, Wastaafu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Vijana Chipukizi.

Kufuatia Katibu Mkuu Daniel Chongolo kuachia ngazi, wimbi la kupata Mrithi limezidi kuongezeka Mtaani huko Dar es Salaam.

Makada wanaotajwa kwa ukaribu kurithi mikoba hiyo ni pamoja na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Misri, Balozi Emmanuel Nchimbi; Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi, Alhaji Abdalah Bulembo; Mbunge wa Isimani, William Lukuvi na Mwenezi Taifa, Paul Makonda

Aidha, Mawaziri wanaotajwa kwa kuvaa Mikoba hiyo ni Waziri wa Habari, Nape Nnauye; Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile na Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.

Pia, yumo Mkuu wa Mkoa wa Geita, Juma Homela-Mbeya; Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makala na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.

Taarifa zinaonesha kwamba Katibu Mkuu mpya anatarajiwa awe ni mbombezi kwenye Mipango na Mwenye haiba lakini mwenye umri wa Ujana ili kuleta mvuto wa kundi kubwa la Vijana wa Nchi hii ambao wanatajwa kufikia 75% ya Watanzania.

Kadhalika Katibu huyo anatarajiwa awe Mtiifu asiye na mashaka kwa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hasaan ambaye kama ilivyo desturi ya CCM anatazamiwa kuwa Mgombea pekee kwenye uchaguzi ujao wa 2025 ndani ya CCM.

Kwenye barua ya Kujiuzulu Katibu Mkuu, Chongolo amehitimisha kwa kutoa tahadhari ya kumsihi Rais Samia awe makini dhidi ya watu wenye hila dhidi yake Rais, Chama na Taifa na akahitimisha kuendelea kuwa mtiifu kwa Chama siku zote. Kauli hii imeibua minong'ono na imezidi kutoa mwanga pengine ndani ya Chama hicho wako Makada ambao wangekuwa hawana nia njema na Rais na Chama chao kwa mwaka 2025.

Soma Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu
Polepole could be the best kwa modern politics ambazo mama anazitaka. Hana makundi au hila. Vinginevyo tumpate kada mwanajeshi aingie hapo
 
Hiki cheo kwa sasa kimekuwa kama "CR" wa vyuo vyetu.

Kwa tuliokuwepo enzi za Pius Msekwa, Lawrence M. Gama na Horace Kolimba, hawa uliowata ni sawa na Makamba na Chongolo.

CCM kama matawi yake kama UWT, UVCCM na Wazazi, inaweza kuwa chini ya Chatanda na Mwegelo, Kawaida na Maganya,basi hata Steve Nyerere anaweza kuteuliwa ila kamwe hataweza kuifanya CCM iwe kama ya hao wa miaka hiyo.
 
Yaani chama kinachofikiri kumpa zero brain kama Bulembo au Makonda ukatibu mkuu basi ni chama mfu maana hata ACT wakipewa bure hao hawawezi kuwapa hiyo nafasi.
Unless chama hicho kiwe kina fanya shughuli kama za Misso Misondo!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kampeni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zimeshaanza hivyo safu ya Uongozi hapo sekretarieti ya Chama ikamilishwe kama nilivyoshauri kisha Kazi Iendelee

Ahsanteni sana 😄
 
Wamo Mabalozi, Wastaafu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Vijana Chipukizi.

Kufuatia Katibu Mkuu Daniel Chongolo kuachia ngazi, wimbi la kupata Mrithi limezidi kuongezeka Mtaani huko Dar es Salaam.

Makada wanaotajwa kwa ukaribu kurithi mikoba hiyo ni pamoja na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Misri, Balozi Emmanuel Nchimbi; Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi, Alhaji Abdalah Bulembo; Mbunge wa Isimani, William Lukuvi na Mwenezi Taifa, Paul Makonda

Aidha, Mawaziri wanaotajwa kwa kuvaa Mikoba hiyo ni Waziri wa Habari, Nape Nnauye; Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile na Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.

Pia, yumo Mkuu wa Mkoa wa Geita, Juma Homela-Mbeya; Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makala na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.

Taarifa zinaonesha kwamba Katibu Mkuu mpya anatarajiwa awe ni mbombezi kwenye Mipango na Mwenye haiba lakini mwenye umri wa Ujana ili kuleta mvuto wa kundi kubwa la Vijana wa Nchi hii ambao wanatajwa kufikia 75% ya Watanzania.

Kadhalika Katibu huyo anatarajiwa awe Mtiifu asiye na mashaka kwa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hasaan ambaye kama ilivyo desturi ya CCM anatazamiwa kuwa Mgombea pekee kwenye uchaguzi ujao wa 2025 ndani ya CCM.

Kwenye barua ya Kujiuzulu Katibu Mkuu, Chongolo amehitimisha kwa kutoa tahadhari ya kumsihi Rais Samia awe makini dhidi ya watu wenye hila dhidi yake Rais, Chama na Taifa na akahitimisha kuendelea kuwa mtiifu kwa Chama siku zote. Kauli hii imeibua minong'ono na imezidi kutoa mwanga pengine ndani ya Chama hicho wako Makada ambao wangekuwa hawana nia njema na Rais na Chama chao kwa mwaka 2025.

Soma Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu
WAMPE SABAYA DC wa HAI amefanya kazi kubwa ya Kumpa Mbowe kesi ya Ugaidi akiagizwa na Jiwe

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wamo Mabalozi, Wastaafu, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Vijana Chipukizi.

Kufuatia Katibu Mkuu Daniel Chongolo kuachia ngazi, wimbi la kupata Mrithi limezidi kuongezeka Mtaani huko Dar es Salaam.

Makada wanaotajwa kwa ukaribu kurithi mikoba hiyo ni pamoja na aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Misri, Balozi Emmanuel Nchimbi; Mwenyekiti wa zamani wa Jumuiya ya Wazazi, Alhaji Abdalah Bulembo; Mbunge wa Isimani, William Lukuvi na Mwenezi Taifa, Paul Makonda

Aidha, Mawaziri wanaotajwa kwa kuvaa Mikoba hiyo ni Waziri wa Habari, Nape Nnauye; Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile na Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene.

Pia, yumo Mkuu wa Mkoa wa Geita, Juma Homela-Mbeya; Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makala na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda.

Taarifa zinaonesha kwamba Katibu Mkuu mpya anatarajiwa awe ni mbombezi kwenye Mipango na Mwenye haiba lakini mwenye umri wa Ujana ili kuleta mvuto wa kundi kubwa la Vijana wa Nchi hii ambao wanatajwa kufikia 75% ya Watanzania.

Kadhalika Katibu huyo anatarajiwa awe Mtiifu asiye na mashaka kwa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hasaan ambaye kama ilivyo desturi ya CCM anatazamiwa kuwa Mgombea pekee kwenye uchaguzi ujao wa 2025 ndani ya CCM.

Kwenye barua ya Kujiuzulu Katibu Mkuu, Chongolo amehitimisha kwa kutoa tahadhari ya kumsihi Rais Samia awe makini dhidi ya watu wenye hila dhidi yake Rais, Chama na Taifa na akahitimisha kuendelea kuwa mtiifu kwa Chama siku zote. Kauli hii imeibua minong'ono na imezidi kutoa mwanga pengine ndani ya Chama hicho wako Makada ambao wangekuwa hawana nia njema na Rais na Chama chao kwa mwaka 2025.

Soma Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu
Dr Wilbroad Slaa
 
Back
Top Bottom