Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
Karibu sana mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]point taken lakini ni muda sasa muafaka wa kutambua rasmi vilinge vyetu kama vituo official vya tiba mbadala
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
Chama kilicho madarakani hakina dira.Wastani wa umri wa kuishi wa Mtanzania ni Miaka 65, Japan ni miaka 85,Uingereza 81,Israel 82. Kwa nini unafikiri kuna utofauti huo?
Nchi ya ndumba.Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
Panadol inatokana na bangi ambayo inapigwa marufuku. Tuanze na kuruhusu bangi kama movement ya kutumia dawa za asili.Nimewahi kutibiwa Nanjing (China) kwa dawa hizo, sio ajabu kwa kweli.
Tatizo ndugu zetu wanaamin sana Panadol iliyotokana na mwarobaini au aroe vera lakin ukimpa mwarobaini au aroe vera anakataa kutumia
Sasa unasema unaitamani alafu hausimulii maanake ndio nini? Ili kuweka uzito hoja yako toa references kama hizoWatu wa "ni yeye" wamechanganyikiwa hawajui kuna asili na kisasa, hawajui broiler na yule kuku anayeitwa wa kienyeji wote ni kuku ila wanatofautiana tu malezi na faida.
Wengi wazazi wao wamekulia vijijini ambako hata zahanati hamna, na wazazi wao wamewazaa huko huko, leo hii wanakuja kukejeli dawa asili hapa lahaula!
Natamani niwape kisa cha tabibu wa asili (mganga wa jadi) wa Serbia aliyetibu wachezaji 'mabilionea' wa ligi maarufu duniani kwa muda mfupi, kuliko hata hizo hospitali mnazoziita za kisasa
How do you prove it scientifically?Panadol inatokana na bangi ambayo inapigwa marufuku. Tuanze na kuruhusu bangi kama movement ya kutumia dawa za asili.
Umezingua sana kusema msingi wake ni uchawi na ushirikina, Umekaririshwa sana na mabeberu wa upande wa pili!Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
1. Dawa mseto ya malaria ( vidonge hadi sindano) ni mitishamba ya kichina na bara la asia.Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
Kaka tembea uone kwa mfano China kuna hospitali zenye vitengo vya dawa za asili na zinatumika sana ,kwa hiyo sio kitu kipya kama hujui kitu uliza kwanza
Nazo wanajifukiza ? halafu sijasema dawa zinatokana na kokoto , namna mnavyofanya nyinyi ndio walivyofanya hao waliotengeneza dawa mseto ?1. Dawa mseto ya malaria ( vidonge hadi sindano) ni mitishamba ya kichina na bara la asia.
2. Quinine vidonge na sindano ( ni mitishamba)
3. Dawa ya kikohozi ZECUF ni mitishamba ya wahindi.
4. Antibiotics jamii ya Penicillin zinatokana na mmea jamani ya fungus aitwae Penicillium
Mifano ya hizo antibiotics ni
(penicillin V
penicillin G (Pfizerpen, Permapen)
amoxicillin (Amoxil)
amoxicillin/clavulonate (Augmentin)
ampicillin (Unasyn)
nafcillin (Nallpen)
oxacillin (Bactocill)
dicloxacillin (Dycill, Dynapen are discontinued brands in the US; generic is available)
cloxacillin (discontinued in the US)
piperacillin (Pipracil)
piperacillin/tazobactam (Zosyn)
ticarcillin (Ticar) (Discontinued in the US; ; generic is not available))
ticarcillin/clavulonate (Timentin) (Discontinued in the US and a generic is not available.)
TUJITAMBUE
Mmea jamii ya Fugus ambao antibiotics hizo nilizozitaja zinatokana naoMaadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .
Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .
Mungu ibariki Tanzania
Nakala : Mshana Jr
Wala sijakubishia hata chembe , sasa angalia hao waliogundua hiyo mimea namna wanavyodhibiti corona , umesikia wakifanya kama mnavyofanya nyinyi ?Mmea jamii ya Fugus ambao antibiotics hizo nilizozitaja zinatokana naoView attachment 1702074
Soma habari ya kujifukizaNazo wanajifukiza ? halafu sijasema dawa zinatokana na kokoto , namna mnavyofanya nyinyi ndio walivyofanya hao waliotengeneza dawa mseto ?
Nazo wanajifukiza ? halafu sijasema dawa zinatokana na kokoto , namna mnavyofanya nyinyi ndio walivyofanya hao waliotengeneza dawa mseto ?