Wanaotaka dawa za kienyeji (asili ) zitolewe kwenye hospitali za Serikali ni vema wakaruhusu pia kupiga Chale na ramli

Wanaotaka dawa za kienyeji (asili ) zitolewe kwenye hospitali za Serikali ni vema wakaruhusu pia kupiga Chale na ramli

Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr

[emoji3][emoji3][emoji3]point taken lakini ni muda sasa muafaka wa kutambua rasmi vilinge vyetu kama vituo official vya tiba mbadala
 
Jamaa una utumwa mkubwa wa fikra. Pengine wewe ndie unaishi stone age. Tiba asili ni industry kubwa na nchi kubwa zimewekeza sana kwa utafiti juu ya dawa hizo. Mf dawa mseto tunazotumia ni wachina wameidevelop purely kutoka kwenye mti shamba.

ajabu usikute unapaka vumbi la kongo au unatafuna mkuyatu na kunywa alkasus halafu unadharau tiba asili.
 
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr
 
Wastani wa umri wa kuishi wa Mtanzania ni Miaka 65, Japan ni miaka 85,Uingereza 81,Israel 82. Kwa nini unafikiri kuna utofauti huo?
Chama kilicho madarakani hakina dira.
Kama jana kwenye kuaga mwili wa Atashasta, asilimia 99 hawakuvaa barakoa
 
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr
Nchi ya ndumba.
 
Nimewahi kutibiwa Nanjing (China) kwa dawa hizo, sio ajabu kwa kweli.
Tatizo ndugu zetu wanaamin sana Panadol iliyotokana na mwarobaini au aroe vera lakin ukimpa mwarobaini au aroe vera anakataa kutumia
Panadol inatokana na bangi ambayo inapigwa marufuku. Tuanze na kuruhusu bangi kama movement ya kutumia dawa za asili.
 
Watu wa "ni yeye" wamechanganyikiwa hawajui kuna asili na kisasa, hawajui broiler na yule kuku anayeitwa wa kienyeji wote ni kuku ila wanatofautiana tu malezi na faida.
Wengi wazazi wao wamekulia vijijini ambako hata zahanati hamna, na wazazi wao wamewazaa huko huko, leo hii wanakuja kukejeli dawa asili hapa lahaula!

Natamani niwape kisa cha tabibu wa asili (mganga wa jadi) wa Serbia aliyetibu wachezaji 'mabilionea' wa ligi maarufu duniani kwa muda mfupi, kuliko hata hizo hospitali mnazoziita za kisasa
Sasa unasema unaitamani alafu hausimulii maanake ndio nini? Ili kuweka uzito hoja yako toa references kama hizo
 
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr
Umezingua sana kusema msingi wake ni uchawi na ushirikina, Umekaririshwa sana na mabeberu wa upande wa pili!
 
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr
1. Dawa mseto ya malaria ( vidonge hadi sindano) ni mitishamba ya kichina na bara la asia.

2. Quinine vidonge na sindano ( ni mitishamba)
3. Dawa ya kikohozi ZECUF ni mitishamba ya wahindi.

4. Antibiotics jamii ya Penicillin zinatokana na mmea jamani ya fungus aitwae Penicillium
Mifano ya hizo antibiotics ni
(penicillin V
penicillin G (Pfizerpen, Permapen)
amoxicillin (Amoxil)
amoxicillin/clavulonate (Augmentin)
ampicillin (Unasyn)
nafcillin (Nallpen)
oxacillin (Bactocill)
dicloxacillin (Dycill, Dynapen are discontinued brands in the US; generic is available)
cloxacillin (discontinued in the US)
piperacillin (Pipracil)
piperacillin/tazobactam (Zosyn)
ticarcillin (Ticar) (Discontinued in the US; ; generic is not available))
ticarcillin/clavulonate (Timentin) (Discontinued in the US and a generic is not available.)

TUJITAMBUE
 
Sio hvy tu Brazil ukipimwa na ugonjwa kujulikana utatajiwa miti shamba ya tatizo lako, kuna wataalam wapo msitu wa amazon kutafuta dawa huko
Kaka tembea uone kwa mfano China kuna hospitali zenye vitengo vya dawa za asili na zinatumika sana ,kwa hiyo sio kitu kipya kama hujui kitu uliza kwanza
 
1. Dawa mseto ya malaria ( vidonge hadi sindano) ni mitishamba ya kichina na bara la asia.

2. Quinine vidonge na sindano ( ni mitishamba)
3. Dawa ya kikohozi ZECUF ni mitishamba ya wahindi.

4. Antibiotics jamii ya Penicillin zinatokana na mmea jamani ya fungus aitwae Penicillium
Mifano ya hizo antibiotics ni
(penicillin V
penicillin G (Pfizerpen, Permapen)
amoxicillin (Amoxil)
amoxicillin/clavulonate (Augmentin)
ampicillin (Unasyn)
nafcillin (Nallpen)
oxacillin (Bactocill)
dicloxacillin (Dycill, Dynapen are discontinued brands in the US; generic is available)
cloxacillin (discontinued in the US)
piperacillin (Pipracil)
piperacillin/tazobactam (Zosyn)
ticarcillin (Ticar) (Discontinued in the US; ; generic is not available))
ticarcillin/clavulonate (Timentin) (Discontinued in the US and a generic is not available.)

TUJITAMBUE
Nazo wanajifukiza ? halafu sijasema dawa zinatokana na kokoto , namna mnavyofanya nyinyi ndio walivyofanya hao waliotengeneza dawa mseto ?
 
Maadam tumeamua kwa kauli moja kuirejesha nchi yetu kwenye zama za mawe na ujima ( God must be crazy ) , basi ni vema tukaruhusu na msingi mkubwa wa miti shamba hiyo ambao ni uchawi na ushirikina , ramli na kupigana Chale .

Hii itasaidia wachawi wengi wa Sumbawanga na kwingineko nchi nzima kujitokeza kizalendo ili kusaidiana na viongozi wa nchi yetu katika kutokomeza corona .

Mungu ibariki Tanzania

Nakala : Mshana Jr
Mmea jamii ya Fugus ambao antibiotics hizo nilizozitaja zinatokana nao
Screenshot_20210214-101250.jpeg
 
Back
Top Bottom