Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Habari wakuu!

Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu,
1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now tunaingia mwezi June je intake nyingine inaanza lini?

2) Vigezo vya kuanza ni vipi? Najua kuna levels mfano foundation, intermediate na final, je kwanini wengine waanzie foundation level na wengine Intermediate?

3)Je kuna favor yoyote kwa mtu aliyesoma masomo yenye uhasibu kidogo mfano Finance, Banking nk?, je atafanya mitihani mingapi ya foundation?

4) Gharama zake zipoje hasa ?

5) Center ipi ni nzuri kwa Review Classes kwa Dar es salaam na hata kwa walioko mikoani nk?

Karibu mshare na sisi lolote kuhusu CPA wakuu ,tutaappreciate👏
Nitakuajiri kwenye kampuni yangu ukimaliza masomo Financial services.


Though bado ipo kichwani 😂😂


Beauty with brain ❤️❤️
 
Nitakuajiri kwenye kampuni yangu ukimaliza masomo Financial services.


Though bado ipo kichwani 😂😂


Beauty with brain ❤️❤️
Na Mungu atakutimizia hitaji lako badala ya kukaa kichwani utaiweka into practical😂😂. Wacha na mimi nipambane faster niipate hiyo CPA huenda mambo yakakunyookea mapema😂

Thank you
 
Habari wakuu!

Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu,
1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now tunaingia mwezi June je intake nyingine inaanza lini?

2) Vigezo vya kuanza ni vipi? Najua kuna levels mfano foundation, intermediate na final, je kwanini wengine waanzie foundation level na wengine Intermediate?

3)Je kuna favor yoyote kwa mtu aliyesoma masomo yenye uhasibu kidogo mfano Finance, Banking nk?, je atafanya mitihani mingapi ya foundation?

4) Gharama zake zipoje hasa ?

5) Center ipi ni nzuri kwa Review Classes kwa Dar es salaam na hata kwa walioko mikoani nk?

Karibu mshare na sisi lolote kuhusu CPA wakuu ,tutaappreciate👏
Watu wenye bachelor za afya, hii CPA inaweza kuwanufaisha vipi ?
 
Watu wenye bachelor za afya, hii CPA inaweza kuwanufaisha vipi ?
Atasota zaidi maana ataanzia mbali kwa kufanya mitihani mingi zaidi kwa sababu hana background ya accounts/finance. Na kimsingi haina faida kwake.

Ni bora kufanya MBA kama ana interest na mambo ya biashara/fedha.
 
Hizo ni sector mbili tofauti sijaelewa swali yaani mtu wa afya anataka awe cpa au
Nimeona humu kuwa watu hata wa kada tofauti na mambo ya biashara na uhasibu wanaweza kusoma vizuri tuu hiyo CPA.

ndio ninauliza kwa wstu wa kozi afya au engineers wakiwa na hiyo CPA inaweza kuwanufaisha vipi ?, au kuwaunganisha na fursa zipi ?
 
Nimeona humu kuwa watu hata wa kada tofauti na mambo ya biashara na uhasibu wanaweza kusoma vizuri tuu hiyo CPA.

ndio ninauliza kwa wstu wa kozi afya au engineers wakiwa na hiyo CPA inaweza kuwanufaisha vipi ?, au kuwaunganisha na fursa zipi ?
Achana nayo mkuu,komaa na afya yako.



Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Nimeona humu kuwa watu hata wa kada tofauti na mambo ya biashara na uhasibu wanaweza kusoma vizuri tuu hiyo CPA.

ndio ninauliza kwa wstu wa kozi afya au engineers wakiwa na hiyo CPA inaweza kuwanufaisha vipi ?, au kuwaunganisha na fursa zipi ?

Inasaidia labda ukianzisha ofisi yako binafsi mambo ya finance utakuwa unashughulika maana muhasibu mwenyewe, ila naona utapoteza mda na huwez kuwa vizuri katika maeneo yote

Multipurpose huwa inapunguza ufanisi
 
Tukutane November tena, thank you Performance Mgmt, sitakusahau🙌👏
20220628_175701.jpg
 
Back
Top Bottom