Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wahasibu mnateseka sana sisi mainjinia ukisha pata kazi unahesabu miaka mitatu then unaandika report na kui submit board waipitie... baada ya hapo unakua Professional Engineer.

Ila siwezi shangaa maana na sisi tulisota sana tukiwa Alevo na chuo... acha tupokezane kusoma namba!
 
Wahasibu mnateseka sana sisi mainjinia ukisha pata kazi unahesabu miaka mitatu then unaandika report na kui submit board waipitie... baada ya hapo unakua Professional Engineer.

Ila siwezi shangaa maana na sisi tulisota sana tukiwa Alevo na chuo... acha tupokezane kusoma namba!
Inaitwa kutesa kwa zamu mkuu😂 nyie ndiyo courses zenu ni 4 yrs huku sisi ni 3yrs🤔
 
Wahasibu mnateseka sana sisi mainjinia ukisha pata kazi unahesabu miaka mitatu then unaandika report na kui submit board waipitie... baada ya hapo unakua Professional Engineer.

Ila siwezi shangaa maana na sisi tulisota sana tukiwa Alevo na chuo... acha tupokezane kusoma namba!
Pale Mzumbe robo tatu ya darasa tuliokua tunafanya BAF miaka kadhaa nyuma tulikua ni PCMs na PCB

Assumption yako imekaa kimchongo
 
Mungu ni mwema, Kituo kinachofuata ni November 'FULL SUIT'
Screenshot_20220629-134114_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom