financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #341
Dah si kwa mitihani hii aisee😪😪 hongereni kwa kumaliza salama wakuu Mungu ajaalieKila la kheri comrades, Mungu atutangulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah si kwa mitihani hii aisee😪😪 hongereni kwa kumaliza salama wakuu Mungu ajaalieKila la kheri comrades, Mungu atutangulie
Ajalie kwenye results tupite na sisi tuvae joho next yearDah si kwa mitihani hii aisee😪😪 hongereni kwa kumaliza salama wakuu Mungu ajaalie
Ila mimi sitegemei sana maana nilichokiandika 😂😂 hatari sanaAjalie kwenye results tupite na sisi tuvae joho next year
Ha ha haaa, jipe moyo kaka, bado nafasi ingalipoNingejua kuwa Maisha ni hivi, either nilivyomaliza lasaba ningeingia kitaa au walau ile form 4 tu yaani.
Huku kwingine I wasted my time kwa kweli.
Ulikua venue gani? Mimi nilikua Rhino, nimevaa Sweta mda siku zoteMr full suit mambo! Are you still alive?[emoji23][emoji23] Mr Confidential pole na mitihani
Hilo baridi lake? Mimi nilikua kakakuona full joto na nilikua nikisoma maswali nasweat kishenzi sioni la kuanzia😂😂Ulikua venue gani? Mimi nilikua Rhino, nimevaa Sweta mda siku zote
Utatoboa tu dada etu ,najuwa umekuja kupata la kuaziaHilo baridi lake? Mimi nilikua kakakuona full joto na nilikua nikisoma maswali nasweat kishenzi sioni la kuanzia[emoji23][emoji23]
Wow ngoja tupambane hadi kielewekeTunawasubiri hapa tuwapatie ajira za kufanya auditing ya makampuni yetu.
Ulifanya B4 this time?Hilo baridi lake? Mimi nilikua kakakuona full joto na nilikua nikisoma maswali nasweat kishenzi sioni la kuanzia[emoji23][emoji23]
Ndiyo aisee niliona ngumuuUlifanya B4 this time?
Njoo usome C4 center yetuNdiyo aisee niliona ngumuu
Ooh thank you, basi ngoja nione matokeo yatakuaje nije, vipi B4 si mpo vizuri pia?Njoo usome C4 center yetu
Hongera..Ile Paper imefanya ni-prove NBAA haitabiriki..Acha tuskilizie matokeo DecemberNdiyo aisee niliona ngumuu
Wow ngoja tupambane hadi kieleweke
Ukiishia foundation,Nina swali wakuu! Nikiamua niishie foundation stage pekee kuna ubaya? Au lazima mtu asome hadi mwisho?