Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Na kibamia tena😀😀 muhimu ni upendo tu mengine majaaliwa😀
Upendo tuu umepata...sie ndio tutakuwa couple pendwa hapa jf.
Trailer itaanza pale kwenye harusi yetu. Wana jf wote watalikwa pale kwa mkapa...uwanja utajaa sinia za pilau huku bwana harusi na bi harusi tupo juu ya helicopter tunanyunyuzia kachumbali na vyuku wageni waalikwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
😀😀😀 una nini lkn hubby to be, tutanyunyizia kachumbari😀😀🙌
 
Nitakuajiri kwenye kampuni yangu ukimaliza masomo Financial services.


Though bado ipo kichwani 😂😂


Beauty with brain ❤️❤️
Mkuu nimekumbuka hii ahadi, nimeshamaliza tayari, lini tuanze kazi🤪😃
 
Hongera CPA T, Karibu kwenye chama . Kuwa certified ni kuzuri na kunafungua milango mingi ya fursa. Kama umefanya na kumaliza mitihan ya Bodi, mitihan ya chuo unaona ni utoto tu .
Ahsante sana mkuu
 
Mtoa mada anza kulipa madeni ya watu sasa,maana tunajua ktk hii safari yako ya kusoma Cpa ulikua unakopa kopa sana kwa ajili ya ada.
Dawa ya deni ni kulipa.
 
Mtoa mada anza kulipa madeni ya watu sasa,maana tunajua ktk hii safari yako ya kusoma Cpa ulikua unakopa kopa sana kwa ajili ya ada.
Dawa ya deni ni kulipa.
Nashukuru kwa kujua, inshallah ntalipa, wewe umeshamaliza kulipa madeni yako? Au wewe safari yako hukukopa ada? Ama hukusoma CPA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…