Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Mimi sijasoma Account, nimesoma Sheria, nikiwa chuo mwaka wa mwisho 2022 nilianza kuufatitlia huu uzi watu wakipambana kuitafuta CPA, kupitia huu uzi ulinitia moyo na nguvu sana na mimi kuunganisha Law School of Tanzania, mwaka 2023 January nilianza Law School na kuhitimu December, nashukuru Mungu matokeo yalienda vizuri. Asante sana kwa mtoa mada kwa huu uzi.

Niwatakie pia mapambano mema ya kuisaka elimu ya CPA.
 
Mambo mkuu, i hope utakua na account yako NBAA, ukiingia kuna sehemu inaitwa "Questions Bank" huko utapata past papers and answers, pia materials ingia sehemu inaitwa "Learning materials"utachagua hizo A's zote zipo ni vitabu vya board
mambo et kupata material na vitabu hadi ujiregister na kulipia au hata ukiwa hujalipia registration unaona?
 
mambo et kupata material na vitabu hadi ujiregister na kulipia au hata ukiwa hujalipia registration unaona?
Ni hadi uwe umejiregister mkuu, sababu materials zipo kwenye account yako. Unahitaji materials tu bila kuwa registered? Nicheki pm
 
Mimi sijasoma Account, nimesoma Sheria, nikiwa chuo mwaka wa mwisho 2022 nilianza kuufatitlia huu uzi watu wakipambana kuitafuta CPA, kupitia huu uzi ulinitia moyo na nguvu sana na mimi kuunganisha Law School of Tanzania, mwaka 2023 January nilianza Law School na kuhitimu December, nashukuru Mungu matokeo yalienda vizuri. Asante sana kwa mtoa mada kwa huu uzi.

Niwatakie pia mapambano mema ya kuisaka elimu ya CPA.
Hongera sana mkuu, mimi still napambana na CPA 😢 ila hadi kieleweke
 
Napenda kuwashukuruni wana jf wote mliokua na sisi katika safari ya kuitafuta CPA, ni 4 years now since nilipoanza kuitafuta. 2021 🤔namshukuru Mungu matokeo yametoka and am a new CPA (T) in town🙏 mnaoendelea kupambana endeleeni hamna kukata tamaa hadi kieleweke. Am so happy, so grateful 🙏.

Tukutane masters 🤪 ila chamoto nimekiona🙌
 
Napenda kuwashukuruni wana jf wote mliokua na sisi katika safari ya kuitafuta CPA, ni 4 years now since nilipoanza kuitafuta. 2021 🤔namshukuru Mungu matokeo yametoka and am a new CPA (T) in town🙏 mnaoendelea kupambana endeleeni hamna kukata tamaa hadi kieleweke. Am so happy, so grateful 🙏.

Tukutane masters 🤪 ila chamoto nimekiona🙌
Masters tena jamani🤔 sii tulikubaliana baada ya cpa tunaweka nguvu kwenye kupata hubby😝
 
Habari wakuu!

Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu,
1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now tunaingia mwezi June je intake nyingine inaanza lini?

2) Vigezo vya kuanza ni vipi? Najua kuna levels mfano foundation, intermediate na final, Je kwanini wengine waanzie foundation level na wengine Intermediate?

3)Je kuna favor yoyote kwa mtu aliyesoma masomo yenye uhasibu kidogo mfano Finance, Banking nk? Je atafanya mitihani mingapi ya foundation?

4) Gharama zake zipoje hasa?

5) Center ipi ni nzuri kwa Review Classes kwa Dar es Salaam na hata kwa walioko mikoani nk?

Karibu mshare na sisi lolote kuhusu CPA wakuu, tutaappreciate👏
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na malazi/makazi/accomodation (Sio maradhi wapendwa😊).

Kwenye issue ya chakula mambo yakiwa magumu mkombozi ni mihogo, nakiheshimu sana hiki chakula.😅

Kwenye issue ya malazi/accomodation/makazi hiki ndo kipengele maridhawa..!😁

Yakupasa upate chumba cha kuishi ambacho kimetulia na hakina mambo mengi na kipo mazingira ambayo hayata disturb mambo yako ya msingi.

Kwa wanachuo wanaopenda kuishi kigamboni karibu na Ferry/Kivukoni Nicheki Whatsapp ili upate Room ya ndoto yako.

Asante.
WhatsApp:+255620523897.
#Chumba #Vyumba #Kigamboni #Ferry #Kivukoni #Pantoni #Chuo #Vyuo #College #Universitylife #Collegelife
 
Napenda kuwashukuruni wana jf wote mliokua na sisi katika safari ya kuitafuta CPA, ni 4 years now since nilipoanza kuitafuta. 2021 [emoji848]namshukuru Mungu matokeo yametoka and am a new CPA (T) in town[emoji120] mnaoendelea kupambana endeleeni hamna kukata tamaa hadi kieleweke. Am so happy, so grateful [emoji120].

Tukutane masters [emoji2957] ila chamoto nimekiona[emoji119]

Hongera sana, kwa kweli umeipambania umestahili kwa hilo.
 
Back
Top Bottom