Kwanza hongera kwa kujiendeleza. Mimi sio mhasibu ila nitakujibu kwa nnavyozijua halmashauri..
Ukiwa mhasibu ni madra kupata posho
Ukiwa internal auditor sometimes unaweza toka nje kukagua miradi ukapata tupesa twa vocha.
Ukiwa mhasibu ni rahisi kupata hata 10% ukipitisha malipo ya mtu.
Ukiwa mhasibu utakua unapelekeshwa na DT na kama mfumo ukiwa mbovu lawama zote kwako.
Sasa kazi ni kwako kuamua!
All in all haijalishi utapangiwa wapi, kazana ukimaliza upate CPA hiki ndio cha muhimu kwako. Pia ukishapata degree au ukipata cpa hama halmashauri sio pazuri.. tafuta mashirika ya umma uhamie uko.. tarura, ruwasa, tanapa nk nk!
Sent from my SM-A515F using
JamiiForums mobile app