mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Mkuu naomba msaada kidogo wa namna ya kusajili course za intermediate, maana kila nikiingia kwenye account nakuta course zilezile za foundation ambazo nilishamaliza. Sioni option ya kuchagua course hizo mpya.Mungu ni mwema, Niko Final level Sasa hivi