Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
- Thread starter
- #41
Chama gani Mkuu?Tutatoana jasho kwanza kura za maoni na ningeomba ziwe huru na za haki!
Najivunia sana nguvu kubwa niliyo nayo kutoka kata za Ipinda,sehemu ambayo nina nguvu mno kisiasa!
Uchaguzi wetu wa kura za maoni chini ya Mzee Kasyupa ukiwa huru na wa haki,nitashinda
Tukutane kura za maoni kaka!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app