Wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kila kukicha kwenye mitandao ya kijamii wajumuishwe kwenye uhujimu uchumi, hawana nia njema na Taifa letu

Wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kila kukicha kwenye mitandao ya kijamii wajumuishwe kwenye uhujimu uchumi, hawana nia njema na Taifa letu

Shetani kazi yake ni kuharibu,kuua na kuiba,ndivyo Biblia inavyosema.Kwa hiyo kila mahali utakapo shuhudia uharibifu,vifo na wizi,ni lazima mkono wa Shetani upo.Si ajabu kwa hiyo kwamba Shetani hufurahia matukio hayo na hufanya kila mbinu chafu ili watu waibiwe,wafe na kuwe na uharibifu.

Kumezuka siku za hivi karibuni tabia ambayo si ya kawaida na kiungwana kabisa,kwa binadamu,ambayo sina shaka yeyote kwamba ina mkono wa Shetani.Tabia hii ni tabia ya kutangaza na kushabikia vifo vya watu mbali mbali,hasa wenye mamlaka au ukwasi,katika hali inayo-ashiria kwamba matangazo hayo yanafurahia vifo hivyo.Kiukweli ni Shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha binadamu yeyote.

Ukitafakari kwa kina matangazo hayo, utagundua pasi shaka yeyote kwamba ushabiki huu wa watu kufa una misingi ya kishetani.Najua wapo watu wenye nia mbaya na taifa letu,hii ni pamoja na kuona kwamba Taifa letu linapata majanga ya kila aina,ili lisifanikiwe kwa njia yeyote ile. Makundi yenye nia hii ovu ni ya watu ambao waliigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi na hata kulifanya kuwa soko la madawa ya kulevya.

Ni vigumu hasa kuona watu hawa wanapata faida gani kwa hararaka haraka kwa kuitangazia dunia kwamba Tanzania watu wanakufa sana.Hata hivyo ukitafakari kwa kina utagundua sababu ya kushabikia vifo hivyo!

Sababu ya msingi ni Ili Tanzania ionekane kwamba ina ugonjwa wa Corona na hivyo kuharibu uchumi wa nchi yetu.Haishangazi kwa hiyo kwamba Ubalozi wa Marekani umetangaza kwamba Tanzania sio salama kutembelea,eti kwa kuwa kuna Corona,wakati Marekani kwenyewe tatizo lipo,tena kubwa sana hata kuliko Tanzania.Haishangazi pia kwamba Marekani imetangaza eti nia yake ya kuisaidia Tanzania ishinde Corona,wakati kwao wameshindwa!Nia ya matangazo yote haya ni ile ile,kuifanya dunia iamini kwamba Tanzania kuna Corona na hivyo kuharibu tashwira yake kimataifa na uchumi wake.

Tupo kwenye vita ya kiuchumi ambapo tumediriki hata kuanzisha mahakama za mafisadi.Hawa wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kwenye mitandao ya kijamii na forums zingine,hawana tofauti yeyote na wahuju uchumi,wawe rounded up na wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.Tukiwachekea tutakula mabua.
Kumbe aliemuua Ben Saanane ni shetani dah nimekuelewa mkuu.
 
So watu waruhusiwe hata kubaka?
Habari unaweza ukaziua kutokuiangalia (watu kupeana habari wenyewe third part inakuhusu / inakupotezea nini)

Suala la kubaka, anayebakwa ana kosa gani ? Kwahio ulimbukeni wa mbakaji ni kutomtendea haki mwingine kama hakuna consent...

Wewe kama hutaki kusoma kitu kwenye mtandao una choice hata ya kutupa smart phone yako na kununua simu kitochi...
 
Nchi hii imekuwa na wajinga wengi sana,tunahitaji ukombozi wa fikra kama taifa
Do you really know what you are talking about?Nadhani wewe ndiye unayestahili kukombolewa kufikra if you believe my presentation is flawed.
 
Shetani kazi yake ni kuharibu,kuua na kuiba,ndivyo Biblia inavyosema.Kwa hiyo kila mahali utakapo shuhudia uharibifu,vifo na wizi,ni lazima mkono wa Shetani upo.Si ajabu kwa hiyo kwamba Shetani hufurahia matukio hayo na hufanya kila mbinu chafu ili watu waibiwe,wafe na kuwe na uharibifu.

Kumezuka siku za hivi karibuni tabia ambayo si ya kawaida na kiungwana kabisa,kwa binadamu,ambayo sina shaka yeyote kwamba ina mkono wa Shetani.Tabia hii ni tabia ya kutangaza na kushabikia vifo vya watu mbali mbali,hasa wenye mamlaka au ukwasi,katika hali inayo-ashiria kwamba matangazo hayo yanafurahia vifo hivyo.Kiukweli ni Shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha binadamu yeyote.

Ukitafakari kwa kina matangazo hayo, utagundua pasi shaka yeyote kwamba ushabiki huu wa watu kufa una misingi ya kishetani.Najua wapo watu wenye nia mbaya na taifa letu,hii ni pamoja na kuona kwamba Taifa letu linapata majanga ya kila aina,ili lisifanikiwe kwa njia yeyote ile. Makundi yenye nia hii ovu ni ya watu ambao waliigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi na hata kulifanya kuwa soko la madawa ya kulevya.

Ni vigumu hasa kuona watu hawa wanapata faida gani kwa hararaka haraka kwa kuitangazia dunia kwamba Tanzania watu wanakufa sana.Hata hivyo ukitafakari kwa kina utagundua sababu ya kushabikia vifo hivyo!

Sababu ya msingi ni Ili Tanzania ionekane kwamba ina ugonjwa wa Corona na hivyo kuharibu uchumi wa nchi yetu.Haishangazi kwa hiyo kwamba Ubalozi wa Marekani umetangaza kwamba Tanzania sio salama kutembelea,eti kwa kuwa kuna Corona,wakati Marekani kwenyewe tatizo lipo,tena kubwa sana hata kuliko Tanzania.Haishangazi pia kwamba Marekani imetangaza eti nia yake ya kuisaidia Tanzania ishinde Corona,wakati kwao wameshindwa!Nia ya matangazo yote haya ni ile ile,kuifanya dunia iamini kwamba Tanzania kuna Corona na hivyo kuharibu tashwira yake kimataifa na uchumi wake.

Tupo kwenye vita ya kiuchumi ambapo tumediriki hata kuanzisha mahakama za mafisadi.Hawa wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kwenye mitandao ya kijamii na forums zingine,hawana tofauti yeyote na wahuju uchumi,wawe rounded up na wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.Tukiwachekea tutakula mabua.
Utakua upo burigi kichakani unajisaidia au umekalia kitu kigumu huo ushauri mpe meko na vilaza wenzako....punguani wahed wewe
 
Natamani sana nikuone unavyo fanana.Si ajabu ni wa ajabu ajabu kama mawazo yako yalivyo.

Hebu toa majibu ya haya: Watu hao hawafi wanazushiwa? Je,korona haipo? Kati ya hao wangapi una hakika hawajafa kwa korona?
Ningekuona wa maana kama ungelaani wasiojulikana waliotupaka tope la kutaka kuua na kuteka wakosoaji wa "mtukufu" wenu asiye na chembe ya ubinadamu!
Kaka yake chikumbalanga
 
Kama bado huamini juu ya uwepo wa Corona , basi wale we si wa kufanya naye mjadala .
Nimekuambia nipe scientific proof.Nitaaminije kitu cha kufikirika kisicho na scientific proof.I will be a fool then,niamini udaku?No way,I am not a loon.
 
Who is a fool here,me or you.And what makes you believe that you are not the fool.
Anyone who argue with fallacies like what you did........I don't want to name you as Lunatic but I decided to group you to fools........
 
Mimi nilisoma Political Science achana na Civics,ila hakuna uhuru usio na mipaka.Aliyekuambia kuna 100% freedom of speech kakudanya.Hata hao waliokudanganya kwamba kuna kitu kinaitwa freedom of speech kwao hakuna.
Nonsense
 
mnapotaka kutupeleka siko, yani watu wasi-share huzuni ya kupoteza wapendwa wao kwa sababu zenu za kisiasa? kama mnasema watu walikua wanakufa na hawajaanza leo sasa kilichobadilika ni nini mpaka wasitangaze? vifo si vilikua vinatangazwa mpaka ma redioni na TBC wakawa na kipindi kabisa cha watu kuwakumbuka wapendwa wao! kinachokuuma nini sasa??
 
Wewe sio scientist,ndio maana udaku wa mainstream media,Bill Gates na akina Anthony Fauci ambao ni first class scientific cons umekubeba.I pitty you people. Kila upepo unawabeba you do not have independent minds!Inasikitisha.
Yeah, I am not a scientist, are you?
 
Umesoma Political Science ila kutwa kucha uko na mada za Medicine wakati kichwani kwako hakuna chochote kuhusu hata elimu ya Biology ya msingi.
Mimi nilisoma Political Science achana na Civics,ila hakuna uhuru usio na mipaka.Aliyekuambia kuna 100% freedom of speech kakudanya.Hata hao waliokudanganya kwamba kuna kitu kinaitwa freedom of speech kwao hakuna.
 
Hata wewe sio scientist ila ndiye kinara hapa JF kwa nyuzi za conspiracy za Corona.
Wewe sio scientist,ndio maana udaku wa mainstream media,Bill Gates na akina Anthony Fauci ambao ni first class scientific cons umekubeba.I pitty you people. Kila upepo unawabeba you do not have independent minds!Inasikitisha.
 
Wewe unafahamu vipi nia za watu wanaotoa taarifa?
Zipo taarifa njema zenye nia njema,na zipo taarifa zenye nia ovu.Si kila mtu ana mamlaka ya kutoa taarifa ya kifo,kwanza kwa nini.Kama ni kiongozi wa juu serikali itatoa taarifa kwa wananchi,otherwise ni fujo yenye nia ya ku-create hofu na taharuki,it is uncalled for.
 
Wote tunakwenda huko kama sio leo ni kesho,kwa hiyo hakuna sababu ya kufurahia mwenzio akifa.
Vitu vyengine huwa havipaswi kupewa uzito, ukiviacha vinaonekana kawaida ila ukivizungumzia unavikuza pasi na sababu ya msingi. Upo kwenye juhudi ya kujionyesha kama unapambania serikali na chama au kama uliyeagizwa kufanya hivyo,unafanya hivyo ili ulete taswira kuwa sasa nchini mwetu hata mtu akifa ni siri kubwa mtu kutangaza msiba wake! Wacha kuchafua nchi yetu na serikali yake , kama kuna aliyefiwa anawataarifu nduguze na watu wengine wa karibu hilo si jambo geni.
Kwa miongo kadhaa sasa kumekuwa na vipindi maalum vya redio vya (rtd ikiwa ni mfano wakati huo) kutangaza misiba na kuwapa jamaa wa marehemu taarifa ya msiba, serikali yetu haijawahi kuzuia vipindi hivi kwakua havivunji sheria yoyote ya nchi hii.
Mahakama ya "mafisadi" haikuanzishwa ili kusingizia watu kesi kama unavyotaka kupotosha dhamira ya uanzishwaji wa makama hii. Haijawahi kua dhamira ya serikali kukamata watu binafsi walio katika majonzi ya kupoteza ndugu na jamaa zao bila sababu za msingi, eti tu kwakua wamesema wamefiwa, tukumbuke pia taarifa hizi hutolewa na taasisi na idara mbali mbali pia juu ya kupoteza mfanyakazi mwenzao, na taasisi hizi nazo zifungiwe kua zinahujumu uchumi ??. Wacheni kuleta taswira mbaya ya nchi hii, wacheni kuchonganisha serikali na wananchi wake, wacheni kuzusha na kujaza watu hofu na chuki zisizo na maana, aliyefiwa azike bila wasiwasi, hakuna nia ya kufungulia mashtaka mfiwa eti kwakua kafiwa.
Nichukue fursa hii kutoa pole kwa kila aliyepoteza ndugu yake, na kumuombea mungu ampe wepesi na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu apitiacho.
Serikali hii si katili msiwe na hofu wala msisikilize maneno ya vibarazani na vijiwe vya kahawa.
 
Shetani kazi yake ni kuharibu,kuua na kuiba,ndivyo Biblia inavyosema.Kwa hiyo kila mahali utakapo shuhudia uharibifu,vifo na wizi,ni lazima mkono wa Shetani upo.Si ajabu kwa hiyo kwamba Shetani hufurahia matukio hayo na hufanya kila mbinu chafu ili watu waibiwe,wafe na kuwe na uharibifu.

Kumezuka siku za hivi karibuni tabia ambayo si ya kawaida na kiungwana kabisa,kwa binadamu,ambayo sina shaka yeyote kwamba ina mkono wa Shetani.Tabia hii ni tabia ya kutangaza na kushabikia vifo vya watu mbali mbali,hasa wenye mamlaka au ukwasi,katika hali inayo-ashiria kwamba matangazo hayo yanafurahia vifo hivyo.Kiukweli ni Shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha binadamu yeyote.

Ukitafakari kwa kina matangazo hayo, utagundua pasi shaka yeyote kwamba ushabiki huu wa watu kufa una misingi ya kishetani.Najua wapo watu wenye nia mbaya na taifa letu,hii ni pamoja na kuona kwamba Taifa letu linapata majanga ya kila aina,ili lisifanikiwe kwa njia yeyote ile. Makundi yenye nia hii ovu ni ya watu ambao waliigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi na hata kulifanya kuwa soko la madawa ya kulevya.

Ni vigumu hasa kuona watu hawa wanapata faida gani kwa hararaka haraka kwa kuitangazia dunia kwamba Tanzania watu wanakufa sana.Hata hivyo ukitafakari kwa kina utagundua sababu ya kushabikia vifo hivyo!

Sababu ya msingi ni Ili Tanzania ionekane kwamba ina ugonjwa wa Corona na hivyo kuharibu uchumi wa nchi yetu.Haishangazi kwa hiyo kwamba Ubalozi wa Marekani umetangaza kwamba Tanzania sio salama kutembelea,eti kwa kuwa kuna Corona,wakati Marekani kwenyewe tatizo lipo,tena kubwa sana hata kuliko Tanzania.Haishangazi pia kwamba Marekani imetangaza eti nia yake ya kuisaidia Tanzania ishinde Corona,wakati kwao wameshindwa!Nia ya matangazo yote haya ni ile ile,kuifanya dunia iamini kwamba Tanzania kuna Corona na hivyo kuharibu tashwira yake kimataifa na uchumi wake.

Tupo kwenye vita ya kiuchumi ambapo tumediriki hata kuanzisha mahakama za mafisadi.Hawa wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kwenye mitandao ya kijamii na forums zingine,hawana tofauti yeyote na wahuju uchumi,wawe rounded up na wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.Tukiwachekea tutakula mabua.
Noni sensi.
 
Shetani kazi yake ni kuharibu,kuua na kuiba,ndivyo Biblia inavyosema.Kwa hiyo kila mahali utakapo shuhudia uharibifu,vifo na wizi,ni lazima mkono wa Shetani upo.Si ajabu kwa hiyo kwamba Shetani hufurahia matukio hayo na hufanya kila mbinu chafu ili watu waibiwe,wafe na kuwe na uharibifu.

Kumezuka siku za hivi karibuni tabia ambayo si ya kawaida na kiungwana kabisa,kwa binadamu,ambayo sina shaka yeyote kwamba ina mkono wa Shetani.Tabia hii ni tabia ya kutangaza na kushabikia vifo vya watu mbali mbali,hasa wenye mamlaka au ukwasi,katika hali inayo-ashiria kwamba matangazo hayo yanafurahia vifo hivyo.Kiukweli ni Shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha binadamu yeyote.

Ukitafakari kwa kina matangazo hayo, utagundua pasi shaka yeyote kwamba ushabiki huu wa watu kufa una misingi ya kishetani.Najua wapo watu wenye nia mbaya na taifa letu,hii ni pamoja na kuona kwamba Taifa letu linapata majanga ya kila aina,ili lisifanikiwe kwa njia yeyote ile. Makundi yenye nia hii ovu ni ya watu ambao waliigeuza Tanzania kuwa shamba la bibi na hata kulifanya kuwa soko la madawa ya kulevya.

Ni vigumu hasa kuona watu hawa wanapata faida gani kwa hararaka haraka kwa kuitangazia dunia kwamba Tanzania watu wanakufa sana.Hata hivyo ukitafakari kwa kina utagundua sababu ya kushabikia vifo hivyo!

Sababu ya msingi ni Ili Tanzania ionekane kwamba ina ugonjwa wa Corona na hivyo kuharibu uchumi wa nchi yetu.Haishangazi kwa hiyo kwamba Ubalozi wa Marekani umetangaza kwamba Tanzania sio salama kutembelea,eti kwa kuwa kuna Corona,wakati Marekani kwenyewe tatizo lipo,tena kubwa sana hata kuliko Tanzania.Haishangazi pia kwamba Marekani imetangaza eti nia yake ya kuisaidia Tanzania ishinde Corona,wakati kwao wameshindwa!Nia ya matangazo yote haya ni ile ile,kuifanya dunia iamini kwamba Tanzania kuna Corona na hivyo kuharibu tashwira yake kimataifa na uchumi wake.

Tupo kwenye vita ya kiuchumi ambapo tumediriki hata kuanzisha mahakama za mafisadi.Hawa wanaotangaza vifo vya watu mashuhuri kwenye mitandao ya kijamii na forums zingine,hawana tofauti yeyote na wahuju uchumi,wawe rounded up na wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.Tukiwachekea tutakula mabua.
Hujaweka namba ya simu
 
Back
Top Bottom