Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wake zao.
 
20230731_234928.jpg
 
Siku hizi Ndoa imekuwa taasisi ngumu sana kwa mwanaume,hasa katika ulimwengu wa Leo ambao mwanamke anapiganiwa ili awe sawa na mwanaume.

Mwanamke amevunja uke msingi wa neno takatifu kutoka kwa Mungu la "enyi wanawake waheshimuni waume zenu".

Mwanamke ameacha kuwa submissive kwa mumewe,ndoa imegeuka ndoano.
 
Back
Top Bottom