Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Makerere Mama Bhoke?Ndio maana hujawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makerere Mama Bhoke?Ndio maana hujawa
Kwendaa. Mfate mumeo MaghayoNdio maana hujawa
Eehh ! Mbona unanitishaHapo badn sana ipo siku utakuja kugundua kuna sababu nyingi za kupita bar zaidi ya hiyo
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.
Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.
Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka
ushauri ni mwepesi tu.. sheria ni moja..Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.
Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.
Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
Yani ni changamoto sana kilamtu analilia lake wanawake wanalalamika na wanaume nao wanalalamika piaSiku hizi Ndoa imekuwa taasisi ngumu sana kwa mwanaume,hasa katika ulimwengu wa Leo ambao mwanamke anapiganiwa ili awe sawa na mwanaume.
Mwanamke amevunja uke msingi wa neno takatifu kutoka kwa Mungu la "enyi wanawake waheshimuni waume zenu".
Mwanamke ameacha kuwa submissive kwa mumewe,ndoa imegeuka ndoano.
Hhahaaa imekaa powa unaepuka shariHiyo mbinu haijaanza lao hata wazee wa zaman walitumia Mi mzee wangu hata kama hajaenda kazini huwezi kumkuta amekaa nyumbani lazima atoke alafu anarud saa 3 kasoro usiku ila siyo mlevi .
Umeoona eehhhIla twende mbele turudi nyuma kizazi hiki ni kiburi sana aisee
Kwa ushauri tu, kama umekimbia domo nyumbani basi umekimbilia kifo bar. Sina maelezo ya ziadaZamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.
Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.
Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
"Kuwa uyaone" ukadhani ni mateke (e ya kwanza weka a, "e" ya pili weka "o")Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.
Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.
Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
Mama,unafanya nini kwenye huu Uzi😁😁?Yani ni changamoto sana kilamtu analilia lake wanawake wanalalamika na wanaume nao wanalalamika pia