Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

Mwakani utakuja uwashukuru mabamedi na wauza nyabe wote Kwa kukupunguzia mzigo wa shahawa ulizopaswa kumwaga nyumbani kwako lakini Huwa unapewa Kwa masimango.
 
ushau
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka

Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
ushauri ni mwepesi tu.. sheria ni moja..
The closer you look.. The less you see.
 
Siku hizi Ndoa imekuwa taasisi ngumu sana kwa mwanaume,hasa katika ulimwengu wa Leo ambao mwanamke anapiganiwa ili awe sawa na mwanaume.

Mwanamke amevunja uke msingi wa neno takatifu kutoka kwa Mungu la "enyi wanawake waheshimuni waume zenu".

Mwanamke ameacha kuwa submissive kwa mumewe,ndoa imegeuka ndoano.
Yani ni changamoto sana kilamtu analilia lake wanawake wanalalamika na wanaume nao wanalalamika pia
 
Hiyo mbinu haijaanza lao hata wazee wa zaman walitumia Mi mzee wangu hata kama hajaenda kazini huwezi kumkuta amekaa nyumbani lazima atoke alafu anarud saa 3 kasoro usiku ila siyo mlevi .
 
Hiyo mbinu haijaanza lao hata wazee wa zaman walitumia Mi mzee wangu hata kama hajaenda kazini huwezi kumkuta amekaa nyumbani lazima atoke alafu anarud saa 3 kasoro usiku ila siyo mlevi .
Hhahaaa imekaa powa unaepuka shari
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
Kwa ushauri tu, kama umekimbia domo nyumbani basi umekimbilia kifo bar. Sina maelezo ya ziada
 
436153730_864229899048941_7210124980170068421_n.jpg
 
Wanaume bar sio suluhisho, jifunzeni ongea na wenza wenu mueleze yaloko moyonii mwenuu

Si ajabu kumkuta mhudumu wa bar anaju in and out za Mr Pombe mmewe Miss Thoda
 
Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee.

Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika.

Naomba msamaha kwa Jamhuri ya Taifa la wanaume wote Tanzania na Duniani. Kipindi cha nyuma nilifikiri ni aina ya watu wasiojali familia zao na wasiotaka ukaribu na wakezao.
"Kuwa uyaone" ukadhani ni mateke (e ya kwanza weka a, "e" ya pili weka "o")
Heshimu wahenga!!
 
Back
Top Bottom